Kutoka kwenye familia tuliyosomeshwa kwa gharama kubwa kumeniathiri kiuchumi, Kupeleka watoto kayumba ni aibu, Napambana kukwepa aibu

Kutoka kwenye familia tuliyosomeshwa kwa gharama kubwa kumeniathiri kiuchumi, Kupeleka watoto kayumba ni aibu, Napambana kukwepa aibu

Kupeleka mtoto Private ni zaidi ya kufaulu kwenye mitihani, Hata vijijini kwenye shule wanazokaa chini wapo vipanga wanaofaulu zaidi.

Ni suala la kumrahishia maisha mtoto, kuhusu kufaulu hilo ni jambo lingine.

soma uzi mzima.
Una mrahisishia maisha mtoto ili iweje? Wakati akirudi mtaani anakutana na maisha yale yale ambayo ulijaribu kumrahisishia alipokuwa mtoto..

Ni sawa na kumdanganya mtoto kuhusu uhalisia wa maisha
 
Mkuu shule sio muhimu sana kumpeleka private kitu muhimu ni ku spend muda na mwanao. Hakikisha bia yake ya kwanza anakunywa na wewe. Kaa nae karibu mfundishe jinsi ya kuwa mwanaume. Shule ni muhimu lakini watoto wa wasiojiweza wanatoboa kwa sababu wazazi wanakaa karibu na watoto.
100% Fact.

You are the true son of your father. Baba ako hakusingiziwa kabisa mkuu.
 
Tofauti ya english medium na kayumba ni ndogo sana kiuhalisia ila binafsi huwa naona.
English medium zinaigiza maisha ya kizungu ihali sisi si wazungu na (kifupi hawa watoto ndio wakikua wanaleta stress kwenye falimia zao wanaforce kuishi kizungu) na kayumba zinaishi kiuhalisia kabisa kulingana na mazingira yetu.
100% Fact
 
Back
Top Bottom