Kutoka kwenye familia tuliyosomeshwa kwa gharama kubwa kumeniathiri kiuchumi, Kupeleka watoto kayumba ni aibu, Napambana kukwepa aibu

Kupeleka mtoto Private ni zaidi ya kufaulu kwenye mitihani, Hata vijijini kwenye shule wanazokaa chini wapo vipanga wanaofaulu zaidi.

Ni suala la kumrahishia maisha mtoto, kuhusu kufaulu hilo ni jambo lingine.

soma uzi mzima.
Una mrahisishia maisha mtoto ili iweje? Wakati akirudi mtaani anakutana na maisha yale yale ambayo ulijaribu kumrahisishia alipokuwa mtoto..

Ni sawa na kumdanganya mtoto kuhusu uhalisia wa maisha
 
100% Fact.

You are the true son of your father. Baba ako hakusingiziwa kabisa mkuu.
 
100% Fact
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…