Mkuu shule sio muhimu sana kumpeleka private kitu muhimu ni ku spend muda na mwanao. Hakikisha bia yake ya kwanza anakunywa na wewe. Kaa nae karibu mfundishe jinsi ya kuwa mwanaume. Shule ni muhimu lakini watoto wa wasiojiweza wanatoboa kwa sababu wazazi wanakaa karibu na watoto.
Tofauti ya english medium na kayumba ni ndogo sana kiuhalisia ila binafsi huwa naona.
English medium zinaigiza maisha ya kizungu ihali sisi si wazungu na (kifupi hawa watoto ndio wakikua wanaleta stress kwenye falimia zao wanaforce kuishi kizungu) na kayumba zinaishi kiuhalisia kabisa kulingana na mazingira yetu.