Joan lewis
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 993
- 1,463
Bora ingekuwa hofu ya dini ni dini imehara kichwani mwako. Prior knowledge tunayopewa kwa nia nzuri wakat mwingine inaweza kuwa kikwazo kikubwa maishani.Inakupa maendeleo vzr tu,shida bongo yako imetiwa hofu na dini.
Wanazipeleka wap? Au wanampa kim azidi kuvimba.. Jmn Dunia ina mengi.Siku hizi Wanazo softwares hatari hatari kudakwa sio rahisi na ukiona kadakwa hajakwiva huyo sio mtabe,,tafuta story za lazarus hackers hao wakorea kaskazini Wana hack na kuiba billion daily
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Lakini angalia saa hizi. Wamekuwa wapuuzi hata wanyama pori wana nafuu.Sio kweli, ebu niambie utajiri wa Wazungu na Waarabu umetokana na nini?
Jamaa hawakudhulumu mali tu hata nafsi walidhulumu.
Wanampa kidukuWanazipeleka wap? Au wanampa kim azidi kuvimba.. Jmn Dunia ina mengi.
Na huwa ndio zake story zake amalizi kbsa anaachia njiani bila kujali lolote Kuna story alianzishaga ukapotea HV HVWrite your reply...hii ngombe imeanzisha uzi mwingine kule
hii imeishia hapa haendelei namjua huyu ngombe
Nimeisoma yote alafu baadhi ya watuhumiwa ninawafahamu ingawa waliachiwa huruNi kweli, ukiweza tafuta na usome story ya wale jamaa waliomwua Wayne Lotta, yule mzungu aliyekuwa akiendesha Kampeni ya kuwalinda tembo...Mwuaji alikodishwa kutoka Bugarama, Burundi
MAJAMBAZI NI MASHETANI
Ni inasemekana ni watu walio ktk mtandao wa ujangiri ndio waliopanga mpango kaziHIvi kwanini aliuawa yule mzungu mwanaharakati
Kama na msimuliaji umemfahamu pia nenda hapo kwao mwambie aje amalizie hapa.Nimeisoma yote alafu baadhi ya watuhumiwa ninawafahamu ingawa waliachiwa huru
Si msimuliaji wa hadithi hii ni ile hadithi ya yule wayne lotter,unamfahamu Wayne Lotter? Ni yule mpigania haki za wanyamapori kama Tembo na FaruKama na msimuliaji umemfahamu pia nenda hapo kwao mwambie aje amalizie hapa.