Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Ukishaelewa Masharti waliyopewa hutahangaika kunitolea povuKwani mwanaume yupo Diamond pekee asioa mbona Vunjabei pamoja na kuwa na pesa mpaka Leo hajaoa mbona uongei hayo masuala yako? Tuwache kuwa na fikra za kiwanga wanga
Za ndaaani kabisa nakupa hizo chukua....Mkuu ongezea nyama
Na kwa taarifa yako pia "Bei Rahisi" nae masharti yanambanaKwani mwanaume yupo Diamond pekee asioa mbona Vunjabei pamoja na kuwa na pesa mpaka Leo hajaoa mbona uongei hayo masuala yako? Tuwache kuwa na fikra za kiwanga wanga
LAW#6: COURT ATTENTION AT ALL COST (THE 48 LAWS OF POWER)Huyu dogo anafanya haya yote kwa sababu ya harmonize na ali kiba na zaid wasanii wengine kama marioo wanatoa ngoma kali na zaidi wabongo saiv wanapagawa na nyimbo na wasanii wa kinaijeria na kila siku kuna nyimbo mpya
Sasa dogo lazima aje na kitu cha kupooza huo moto ili akae kwenye headlines.
Kubali kataa mademu wazuri wapo na wabaya wapo,Kila mtu ana preference yake usitake kila mtu awe na mtazamo kama wakwao wewe unayemuona mzuri mwingine kwake si mzuri na wewe unayemuona Mbaya kwa mwingine ni mzuri ishi humo
Baba uzeee, Hahaha hahahaHapa nazungumzia kwa wale waliolipa kiingilio kuingia kwenye hiyo event mwamba unakwama wapi?
Kwanza futa kauli ya uchawa mimi mwenyewe nilikuwa kawa wewe kuamini hizi kauli za kuwa ni freemason nakumbuka pale ubungo kituo Cha mabasi alikuwa mtaalamu moja hiyo ulikuwa 2014 wakati ndipo form iv anazingiliwa idadi mkubwa wa watu wakawa wanajaa jamaa akasema 2015 mwezi wa 9 Diamond na Anold schwarzenegger watakufa kwa kwenda nje ya utaratibu wa kifreemason tokea Hili sakata sijawahi kuamini Tena hayo mambo kabisaNa kwa taarifa yako pia "Bei Rahisi" nae masharti yanambana
We chawa endelea kukaza fuvu ukidhania ukweli ni Fikra za kiwangawanga
Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
Kauli siifuti kwa sababu sio lazima mtazamo wangu ufanane na wa kwako..Kwanza futa kauli ya uchawa mimi mwenyewe nilikuwa kawa wewe kuamini hizi kauli za kuwa ni freemason nakumbuka pale ubungo kituo Cha mabasi alikuwa mtaalamu moja hiyo ulikuwa 2014 wakati ndipo form iv anazingiliwa idadi mkubwa wa watu wakawa wanajaa jamaa akasema 2015 mwezi wa 9 Diamond na Anold schwarzenegger watakufa kwa kwenda nje ya utaratibu wa kifreemason tokea Hili sakata sijawahi kuamini Tena hayo mambo kabisa
Jamaa ana viashiria vyote , hata zile nywele anazozifunga juu kama pembe za mbuzi ,..!! Mwamba fame kaipata with high costkauli siifuti kwa sababu sio lazima mtazamo wangu ufanane na wa kwako..
Halafu ushawahi kujiulliza zile pete 6 alizovaa vidole vya kulia 3 na kushoto 3 maana yake? Pete ya fuvu je....
ni hatari na mbaya sana hii mkuuKwa jinsi nilivyotazama Zuchu yupo kimkakati sana.na pia mzee baba kashavua nguo pale washajuana nyuchi wale.
Tena mwanadada anaonyesha alikamia kweli show.na hamuogopi kabisa bosi wake ,zamani kidogo nidhamu na heshima ilikuwepo kati yao.
Ndio madhara ya kuchanganya mapenzi na kazi.
Pete za umaarufu, utajiri hizo mkuu na kama unataka vita muulize kuhusu maana ya hizo pete au kathubutu kumvua uoneJamaa ana viashiria vyote , hata zile nywele anazozifunga juu kama pembe za mbuzi ,..!! Mwamba fame kaipata with high cost
Wasubirie insta,fb mondi akipost akihesabu na kukoga mijihelaNa jana aliwapata kweli kweli si mchezo
[emoji23][emoji23]Kwahiyo hawa ni wapenzi au?
Picha inazungumza mengi sana.
Baba is not in love kabisa yuko ki biashara zaidi. Ila mama amekuwa strategic akijisogeza sogeza kwa hila na ushawishi akitafuta love status. Kanaonekana king'ang'anizi lakini pia kinaonekana kinatumia hila na unafiki mwingi wa kichinichini ili kuolewa na mjukuu wangu Mondi.
BTW, ni kwa nini mlio karibu na huyo mtoto wakike msimshauri avae nguo za kujifunika kama mila yakwao ili angalau kuficha maumbile ya miguu yake? Nani alimwambia akikaa uchi anapendeeza?
Mondi umeona madhara ya kujifanya dume la mbegu? Sasa imekula kwako. Unaingizwa kwenye ndoana na wazenji, waliokubuhu kwa mambo yale, kwa lazima bila kujali hata kama mwali angelikuwa na miguu kama mihogo, ama sura kama mbegu na macho kama njegere pori.
Na hapo ndipo unafikia mwisho wa mziki na umaarufu wake. Wengine jifunzeni. Msijichanganye na wanawake wa uzenjini, ni balaa wale.
Kuna Mjenzi huru mwingine yuko kwenye Casino ya Li-Grand Hotel ana chapaa kinyama, ila sasa masharti yake ni kushikwa shikwa tu sehemu zote za mwili na warembo wa nguvu waliomzunguka akiwa anacheza kamali huku akiwagawia dola(pesa) kibao hao warembo lakini hasimamishi wala kuduu na Ke yeyote.Tatizo masharti ya wajenzi huru yanambana Mondi, ameambiwa azalishe tu...No kuoa!
"We chawa endelea kukaza fuvu ukidhania ukweli ni Fikra za kiwangawanga" [emoji28]Na kwa taarifa yako pia "Bei Rahisi" nae masharti yanambana
We chawa endelea kukaza fuvu ukidhania ukweli ni Fikra za kiwangawanga
Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
Mbona keshamla kitambo, na anaendelea kumlaDomo hawezi kukaacha kale lazima akale tu hata mi nisingekaacha japo kabovu ila kuoa pisi kama inakuheshimu na kukupenda raha sana asikwambie mtu