Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amewataja marais waliomtangulia,maana yake ameshakua rais, membe ana mambo kweli,eti nawataja marais walionitangulia
Ndio maana tunasema nchi yetu inatisha kwa ushirikina kwa sababu viongozi
aina ya akina membe wapo mstari wa mbele kuendekeza ushirikina ,afu anaonekana ni mkabira na mkanda sana
Hakika UKAWA wanayo kazi yani wanapigwa kutoka kila mkoa leo watapigwa kutoka Lindi na baadae watapigwa kutoka Dar....! Bavicha hawana jinsi inabidi wacheze ngoma ya CCM maana sasa wameamini Rais wa nchi hii lazima atoke CCM!
Membe, wewe ni msomi wa kiwango cha juu unaposema umeongea na Mwalimu Nyerere kwenye kaburi lake kuhusu wewe kugombea urais umemishangaza sana.
Mwalimu Nyerere ni marehemu sasa hivi sasa unaposema umeongea na marehemu sijakuelewa ujue.
Halafu Nyerere na Mungu hawawezi kujadiliana kuhusu wewe daahh!!!.
Haya tuendelee kukusikiliza.
Bavicha ni chuo cha matusi!
Hakika UKAWA wanayo kazi yani wanapigwa kutoka kila mkoa leo watapigwa kutoka Lindi na baadae watapigwa kutoka Dar....! Bavicha hawana jinsi inabidi wacheze ngoma ya CCM maana sasa wameamini Rais wa nchi hii lazima atoke CCM!
Umeona ehhh kaongea sana u LINDI,mara LINDI tutatoa RaisiNdio maana tunasema nchi yetu inatisha kwa ushirikina kwa sababu viongozi
aina ya akina membe wapo mstari wa mbele kuendekeza ushirikina ,afu anaonekana ni mkabira na mkanda sana
Anaringia taaluma yake ya usalama wa taifa...kwakweli magereza yatajaa.
Samahani mkuu, hivi Kuna busara inayopatikana makaburini!. Poor Tanzanians.View attachment 258169
Membe na Nyerere wana historia ndefu sana. Hivyo ni muhimu kwake kutafuta busara za baba wa taifa pamoja na kwamba ni hayati sasa.
You're right... watu wanachanganya mambo kweli kweli... wanadhani pale ni sehemu ya kutangaza sera kumbe ni kutangaza nia... hawafahamu ni mbwembwe tu zilizoibuka hivi karibuni lakini kwa kawaida, hata haya mambo ya kurusha LIVE wala sio lazima lakini bado kuna watu wanatega masikio kusikiliza sera sasa sijui ni sera za kumwahidi nani wakati wanachofanya ni kutafuta ridhaa ndani ya chama ambapo!!! Tusichojua ni kwamba, pale utangaze sera au usitangaze, haimaanishi chochote kwa kuwa sio pahala pake!Tatizo lenu wengi hamjui siasa. Hilo ndilo linalo wasumbua. Hivi unadhani hapo anaomba kura za Watanzania? Mwenzako hapo anataka chama kimpe ridhaa tu. Sasa ukijipeleka peleka bila kuwataja viongozi wa chama hiyo ridhaa utaipata wapi!?!
Membe kichwa wewe...usimuone mjinga.
Hakika UKAWA wanayo kazi yani wanapigwa kutoka kila mkoa leo watapigwa kutoka Lindi na baadae watapigwa kutoka Dar....! Bavicha hawana jinsi inabidi wacheze ngoma ya CCM maana sasa wameamini Rais wa nchi hii lazima atoke CCM!
Samahani mkuu, hivi Kuna busara inayopatikana makaburini!. Poor Tanzanians.
Ndio maana tunasema nchi yetu inatisha kwa ushirikina kwa sababu viongozi
aina ya akina membe wapo mstari wa mbele kuendekeza ushirikina ,afu anaonekana ni mkabira na mkanda sana
By Ritz![]()
Membe, wewe ni msomi wa kiwango cha juu unaposema umeongea na Mwalimu Nyerere kwenye kaburi lake kuhusu wewe kugombea urais umemishangaza sana.
Mwalimu Nyerere ni marehemu sasa hivi sasa unaposema umeongea na marehemu sijakuelewa ujue.
Halafu Nyerere na Mungu hawawezi kujadiliana kuhusu wewe daahh!!!.
Haya tuendelee kukusikiliza.[/QUOTE
Ushirikina!