Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Napata mashaka juu ya ufahamu wa watangaza nia wa CCM kama wanajua tofauti ya kutangaza nia na kupiga kampeni,wengi wao wanaongea lugha ya kikampeni kama vile tayari wameshapewa jukumu la kupeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi ujao.
 
Hahahaaaaaaa!, nitafunga camera 📷 kila mahali kulinda albino na kupambana na wahalifu wote.Ndiyo Mzee!!!.
 
kumpata mgombea toka ccm ni sawa na kuipotezea bikra kwa changudoa. wote hawafai.
 
hahahahaha eti kuwapa uwezo wanawake waache wanaume!!! Huyu Mwehu Category A ...
 
Membe amealika wanawake wacheza taarabu wa kutosha.hawa wagombea wa ccm hawana tofauti na futuhi.
 
Ili mukiachwa na waume zenu wasiwachezee chezee.. Muwe na pesa zenu
 
Yaani Membe anaonekana hakujipanga. Seems anataka kuongea yote waliyozungumza wenzake na huku anataka kumjibu EL
 
Mbona sisikii hoja yoyote jamani au masikio yangu hayasikii vizuri..

2015 ina mambo
 
mwaka huu tutasikia mengi sana. Naona rais mtarajiwa membe anajipa u discipline master katika familia za watanzania. haya kazi kwenu walevi.
 
Na nyie akina baba mnaowanywea pombe wake zenu mkomeee nikiingia madarakani
 
Sera za chumbani zimekua za kitaifa! eti kina baba wakome kuwanyanyasa wakina mama.
 
Back
Top Bottom