Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe acha hizo,kwa sasa Baba wa Taifa hana uhai?Sasa Membe aliongea vipi na mtu ambae hana uhai?
Hivi Watanzania mnajua kuwa Membe amekuwa shushushu kwa miaka zaidi ya 20? Tangu enzi za mwalimu Nyerere.
Hana uwezo wa kushawishi kabisa
Tatizo lenu wengi hamjui siasa. Hilo ndilo linalo wasumbua. Hivi unadhani hapo anaomba kura za Watanzania? Mwenzako hapo anataka chama kimpe ridhaa tu. Sasa ukijipeleka peleka bila kuwataja viongozi wa chama hiyo ridhaa utaipata wapi!?!
Membe kichwa wewe...usimuone mjinga.
Tendea haki nafsi yako. Hivi huoni noma kuusema uongo waziwazi hivyo?
hahhahhahahhahha anajua viwanda vya bia vinachangia asilimia ngapi ya pato la TaifaAtafunga viwanda vya bia?