Na mchango wa hiyo kazi yake ni nini? kwa maendeleo ya taifa?
hahhahhahahhahha anajua viwanda vya bia vinachangia asilimia ngapi ya pato la Taifa
Kama huyu Membe angekuwa na ufahamu sahihi, asingekubali kurusha live hiki kipindi. Ni bora angeongea na watu wa lindi kimya kimya maana wahenga walisema "Ukimya nihekima ya mpumbavu"
Sasa huyu .............
Membe ameoa kweli?
Naona anaanza kumsema Lowasa