Hatosubiri kumpeleka mahakamani mla rushwa hata kama ni kiongozi mkubwa.
Hatosubiri kumpeleka mahakamani mla rushwa hata kama ni kiongozi mkubwa.
Na nyie akina baba mnaowanywea pombe wake zenu mkomeee nikiingia madarakani
Membe mbona unatuacha kimya kimya sisi Diaspora uraia pacha.
Kweli mtu wa Pwani ni wa Pwani tu,yaani Ni kama kigodoro fulani cha kumtoa mwali.Hawa ndio tuwape Urais?
Hatosubiri kumpeleka mahakamani mla rushwa hata kama ni kiongozi mkubwa.
hata fuvu lina ufa.....anahamasisha kuvunja ndoa...anataka akina mama wavunje ndoa yeye atawapa hela....awaambia akina baba wasinywe pombe....amewataka wakome...kweli hili ni box tupu
Membe anaongea mpaka koo linakauka na kukohoa mpaka anapewa maji kupoza koo