Wakati Yeye Akijianda Kucheza Hizo Mechi Zake Tatu Ulizomtajia Hapo Mheshimiwa Profesa Sospeter Muhongo Kaisha Maliza Ligi Nzima Na Ndiyo Rais.
Duh sasa Nyerere afurahie yeye kuwa rais, halafu Makongoro afurahiwe na nani? CCM bwana kila mtu anataka kusafiria nyota ya Nyerere
Kwa hiyo anataka kuwa rais wa WAFU?
Duh sasa Nyerere afurahie yeye kuwa rais, halafu Makongoro afurahiwe na nani? CCM bwana kila mtu anataka kusafiria nyota ya Nyerere
Anataka kuwa Rais wa Wafu?
Hivi masangoma ndo wale madaktari wa jadi wanaoangalia luninga high definition kwenye ndoo za mma?
Kwa hiyo anataka kuwa rais wa WAFU?
Samahani niko tu na sentensi sina jingine 'kwa hiyo anataka kuwa rais wa wafu' kadiri ya misahafu yote twajua Mungu Yu hai sasa kama yeye Yu hai yeye sio Mungu wa wafu bali wa wanaoishi'. Usipoteze akili kwa kufikiria chini fikiria tu yaliyo juu ambako yeye yupo. Na anatungojea wote.take care