Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

kinacho nishangaza zaidi hadi matambiko watu wanayafanya lakini wanasema ni chaguo la mungu. Itajulikana tu,wengine sijui kama watafika hiyo oct salama.
 
Hahahahaaa jamani hili tambiko limenichekesha sana
 
hahahahahahahahaha ... Aisee huku ni kumrejesha Msanii mwingine madarakani ... Jamaa anafanana sana na JK ... kila kitu ..
 
Ufafanuzi,Membe ni mwera sio mmakonde,Na Tanzania tangia ianze haijawahi kutoa Rais Mmakonde!!
Mkapa ni mmakua!!
 
Izo ndio tambiko zetu za ki mwera bwana hahahaha yani rahaaah
 
CCM kuna ma professor wengi sana,hadi Mzee Mtopa nae ni proffeseri
 

Mwaka huu hatutumii hicho kigezo tumejifunza kutokana na makosa. Haturudii tena.
 
Wana jf imekuwa ni katabia ka watu kumtuhumu lowasa kuwa anatumia hela nyingi kuusaka urais na siku alipotangaza nia arusha uwanja ulijaa watu.wadau walianza ooh umati ule umeletwa na lowasa kwa kuwasafirisha,kula na kuwalaza.sasa je,hao waliokusanyika ktk mkutano wa membe katumia kiasi gani cha pesa kuwasafirisha?nani msafi ccm?
 
Jamaa ajatoa hata mia lakin watu wamefurika ile mbaya
 
Hivi huyu Membe anafikiri kura za Uraisi zinapigiwa Lindi pekee!!?
 
Jamaani mbona kama mke wa bernad membe anafanana na mama salma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…