Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Hivi Watanzania mnajua kuwa Membe amekuwa shushushu kwa miaka zaidi ya 20? Tangu enzi za mwalimu Nyerere.
Mpaka sasa hakuna sera yoyote ya maana zaidi ya historia na majigambo!
Kazi kwelikweli.
Mpaka sasa hakuna sera yoyote ya maana zaidi ya historia na majigambo!
Kazi kwelikweli.
Naona wazungu wapo bize kumpiga Membe picha tu. Sijui kama babu Slaa atapata heshima hiyo.
Naona wazungu wapo bize kumpiga Membe picha tu. Sijui kama babu Slaa atapata heshima hiyo.