Kutokana na kauli ya Rais Samia, kuwataka viongozi waige mfano wa uongozi wa Sokoine. Swali la kujiuliza ni viongozi wangapi wa sasa ni waadilifu?

Kutokana na kauli ya Rais Samia, kuwataka viongozi waige mfano wa uongozi wa Sokoine. Swali la kujiuliza ni viongozi wangapi wa sasa ni waadilifu?

Moja ya kauli aliyotoa Rais Samia Jana wakati akikizindua kitabu Cha Hayati Edward Sokoine, katika hafla iliofanyika Dar, aliwaonba viongozi wenzake, waige mfano wa Hayati Edward Sokoine wa uzalendo wa kulipenda Taifa lake wa hali ya juu sana na kuwatumikia wananchi wa nchi hii Kwa uadilifu mkubwa na hakupenda kabisa ufisadi na yeye mwenyewe alikuwa ni mfano Kwa kutojilimbikizia Mali ya aina yoyote Ile.

Hebu viongozi wa sasa mnatakiwa myaishi maisha ya Hayati Sokoine wa kutotamani maisha ya starehe na kutojilimbizia Mali ya aina yoyote Kwa ufisadi.

Hebu tujiulize ni viongozi wangapi wa hivi sasa wanayaishi maisha ya Marehemu Sokoine ya uadilifu wa hali ya juu sana na kutotaka kujilimbikizia Mali Kwa njia ya ufisadi??
Yeye mwenyewe anamuiga Edward Moringe Sokoine au ni kauli ya "kisiasa"
 
Moja ya kauli aliyotoa Rais Samia Jana wakati akikizindua kitabu Cha Hayati Edward Sokoine, katika hafla iliofanyika Dar, aliwaonba viongozi wenzake, waige mfano wa Hayati Edward Sokoine wa uzalendo wa kulipenda Taifa lake wa hali ya juu sana na kuwatumikia wananchi wa nchi hii Kwa uadilifu mkubwa na hakupenda kabisa ufisadi na yeye mwenyewe alikuwa ni mfano Kwa kutojilimbikizia Mali ya aina yoyote Ile.

Hebu viongozi wa sasa mnatakiwa myaishi maisha ya Hayati Sokoine wa kutotamani maisha ya starehe na kutojilimbizia Mali ya aina yoyote Kwa ufisadi.

Hebu tujiulize ni viongozi wangapi wa hivi sasa wanayaishi maisha ya Marehemu Sokoine ya uadilifu wa hali ya juu sana na kutotaka kujilimbikizia Mali Kwa njia ya ufisadi??
Atoe agizo kila kiongozi serikalini na CCM lazima anunue na atembee nacho kitabu hicho mkononi mwake.
 
Moja ya kauli aliyotoa Rais Samia Jana wakati akikizindua kitabu Cha Hayati Edward Sokoine, katika hafla iliofanyika Dar, aliwaonba viongozi wenzake, waige mfano wa Hayati Edward Sokoine wa uzalendo wa kulipenda Taifa lake wa hali ya juu sana na kuwatumikia wananchi wa nchi hii Kwa uadilifu mkubwa na hakupenda kabisa ufisadi na yeye mwenyewe alikuwa ni mfano Kwa kutojilimbikizia Mali ya aina yoyote Ile.

Hebu viongozi wa sasa mnatakiwa myaishi maisha ya Hayati Sokoine wa kutotamani maisha ya starehe na kutojilimbizia Mali ya aina yoyote Kwa ufisadi.

Hebu tujiulize ni viongozi wangapi wa hivi sasa wanayaishi maisha ya Marehemu Sokoine ya uadilifu wa hali ya juu sana na kutotaka kujilimbikizia Mali Kwa njia ya ufisadi??
Tuanzie na yeye kwanza ni muadilifu? Mzalendo? Anachukia wizi na rushwa? Anaonyesha kwa vitendo?
 
Moja ya kauli aliyotoa Rais Samia Jana wakati akikizindua kitabu Cha Hayati Edward Sokoine, katika hafla iliofanyika Dar, aliwaonba viongozi wenzake, waige mfano wa Hayati Edward Sokoine wa uzalendo wa kulipenda Taifa lake wa hali ya juu sana na kuwatumikia wananchi wa nchi hii Kwa uadilifu mkubwa na hakupenda kabisa ufisadi na yeye mwenyewe alikuwa ni mfano Kwa kutojilimbikizia Mali ya aina yoyote Ile.

Hebu viongozi wa sasa mnatakiwa myaishi maisha ya Hayati Sokoine wa kutotamani maisha ya starehe na kutojilimbizia Mali ya aina yoyote Kwa ufisadi.

Hebu tujiulize ni viongozi wangapi wa hivi sasa wanayaishi maisha ya Marehemu Sokoine ya uadilifu wa hali ya juu sana na kutotaka kujilimbikizia Mali Kwa njia ya ufisadi??
Samaki huoza kuanzia kichwani 😂,,, nadhani yeye na mvaa tai ya bendera wangeanza kuyaishi maisha ya Sokoine kwa kuuza vyote walivyonavyo na kubakia na mshahara na usafiri wa ofisi ya umma tu.
 
Samaki huoza kuanzia kichwani 😂,,, nadhani yeye na mvaa tai ya bendera wangeanza kuyaishi maisha ya Sokoine kwa kuuza vyote walivyonavyo na kubakia na mshahara na usafiri wa ofisi ya umma tu.
Ngoja tumalizie Kizimkazi maana vifaa vipo njiani.
 
Sokoine hakupenda majambazi na wauwaji.mambo ya utekaji hayakuwepo kabisa tofauti na hii awamu ya mama mauwaji yamekuwa Kila siku.
 
Huyo mwamba mmempa bia alafu malipo yake sasa mnamchom humid mtandaoni.Hapo mmeshamuuza kesho na keshokutwa akidakwa na Wasiojulikana mtaanza kushangaa.
Wewe isipende kutoa vitisho.

Kwani kosa lake huyo mwamba ni Nini??

Je kutoa mawazo yako, imekuwa ni kosa ambalo unastahili kupotezwa??😗
 
yeye amesema hajawahi kuua hata sisimizi!
Hii lugha inaumiza sana sana!
Tena unaumiza sana tena sana tuuu...........

Hivi wewe kama ndiye Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi yote, utawezaje kujiepusha na hiyo kashfa, wakati hutaki kuunda Tume Huru ya kuchunguza kifo Cha Medy Kibao, Wala hutaki kuviagiza vyombo vyake vya ulinzi na usalama, viwarejeshe wakiwa hai au wamekufa, kina Soka na wenzie??

Vile vile hutaki kuwawajibisha Waziri wa Mambo ya ndani, Yusuph Masauni na mwezie IGP Camilius Wambura??
 
Wewe isipende kutoa vitisho.

Kwani kosa lake huyo mwamba ni Nini??

Je kutoa mawazo yako, imekuwa ni kosa ambalo unastahili kupotezwa??😗ma hakuna toshio basi hilo ndio ombi langu.

Wewe isipende kutoa vitisho.

Kwani kosa lake huyo mwamba ni Nini??

Je kutoa mawazo yako, imekuwa ni kosa ambalo unastahili kupotezwa??😗
Basi kama hakuna kitisho chochote kwake hiyo ndio sala yangu.
 
Yy mwenyewe kauza loliondo na bandari zetu kwa wajomba zake.
 
Back
Top Bottom