Kutokana na mabadiliko ya kiutawala Arusha, serikali ikae makini ili jamaa asisababishe wazungu wakatoa travel advisory kwa raia wao

Waache watende kwa pupa. CIA is watching very carefully
 
Kule alienda kununua mbegu za kiume ili mkewe apandikizwe mimba, alizalia hapahapa
hana hiyo ban tena US hawanaga gubu wala ustahimilivu ya kung"ang"ana na tuhuma za kusadikika kwa kipindi kirefu...
 
Sisi tunachoma samaki aina ya nguru(ananuka balaa) miksa ubani mashtaka na chumvi ya mawe, vitajibu tu
πŸ€”πŸ€”πŸ€”.. Siyo kila Mda uchawi unafanya kazi...
 
Hatumtaki DSM

Aende hukohuko mikoani.

Chalamila mtu wa watu kiuhalisia

Makonda ni kwenye media tu, kiutendaji ni msanii tu.

Chalamila abakie DSM kwa miaka 10
 
Ikulu sio pango la wezi na wauaji, kuwa maarufu alikuwa Lowassa, but the system (not the voters) said Noooo!!! The system must feed the public with the best candidate for public interest
Eti the system, hii hii ambayo imeruhusu nchi iendeshwe kwa rimoti Toka msoga!? Huwezi kuwa serious!
 
hizo mambo za marekani ziliisha na mwanae ni raia wa huko wa kuzaliwa na kwahivyo anaweza kwenda at any time...
Kwa hiyo mwanae ndiye yeye!? Wewe unaweza kwenda kutumikia kifungo cha mwanao Gerezani!? Mbona akili zenu fyatu namna hii!
 
Hao wa Marekani wana usafi gani?

Wauaji wakubwa, karibia kila vita za nchi, kuna mkono wa Marekani

Kwanini wamwone Makonda muuaji na wamwogope kufanya utalii? Kwani ataua kila mtalii?

Mbona mawazo hasi sana hayaa.
 
Naona CHADEMA nzima mmechaganyikiwa kwa sasa maana mnajuwa kuwa mwakani hampati kitu katika uchaguzi mkuu
Mpumbavu wewe! Magufuli alidhulumu chaguzi nchi nzima bila Makonda! Unakumbuka wakati huo Makonda alikuwa nani!? Wajinga mnapenda kumpa ukuu ambao hana. Mna memory ya kuku.
 
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ”¨
 
Hatumtaki DSM

Aende hukohuko mikoani.

Chalamila mtu wa watu kiuhalisia

Makonda ni kwenye media tu, kiutendaji ni msanii tu.

Chalamila abakie DSM kwa miaka 10
The mission atakua Arusha for sometimes,
then Mwanza, na kalafu atahitimisha kazi maalumu akiwa Dar es Salaam.....
 
Hakuna upinzani Arusha bali kulikuwa na wahuni na matapeli aina ya Lema , ambao sasa mwisho wao umefika .
Hao mnaowaita wahuni mnawaogopa hata kufanya uchaguzi huru na WA haki hamtaki. Mnawaogopa wahuni na matapeli, kwani wananchi si ndio wanaowachagua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…