Naona wametoa data za awali na yeye amezirepost kwenye account yake, jamaa hataki mchezoHuyu ndiyo engineer wa haya yote na baada ya miezi sita watakuja na data za pesa walizookoa baada ya kusitisha Misaada
Hii ya kukata misaada katika nchi za mafisadi amepiga penyewe kabisa..Trump ni Magufuli mtupu kabisa.
Huyo mara unamkuta Kule Dodoma wakiimba Samia aongezewe mudaKwahiyo wewe kwa mtizamo wako utawala wa CCM Tanzania ni bora kiliko wa trump US?
Kuna Kipindi akili yako inakua sawa mkuu na sio uchawa tu (kidding)...Trump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.
Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.
Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.
Muda utasema.
Usinikumbushe JPMTrump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.
Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.
Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.
Muda utasema.
Wamempa kaburu Rungu kazi tunayo..Haha, huyu ndio anapitia mafaili sasa hivi
View attachment 3226584
Jama akikaza kwenye hizi ishu aisee sijui hali itakuwaje..dunia itakuwa ni ubabe ubabe bila mchezoKuna Kipindi akili yako inakua sawa mkuu na sio uchawa tu (kidding)...
By the way naunga mkono hoja yako, japo tusimuombea Mabaya bali tumuombee abadilike kimtazamo kwenye yale mambo yenye athari hasi kwa jamii akazie kuyaondoa. Ila yale ambayo ni faida kwa jamii ya walio wengi asiyaguse kabisa.
Kwa mfano
Ishu ya mashoga namuunga mkono
Ishu ya USAID namuunga mkono
IShu ya kumaliza vita Ukraine namuunga mkono
Ishu ya Gaza nampinga kwa nguvu zote
Ishu ya South Africa nampinga kwa nguvu zote
Ishu ya Panama nampinga kwa nguvu zote
Ishu ya Greenland nampinga kwa nguvu zote
Ila Trump anaweza kua na shida kwa ubongo... kuna wakati kujiamini kukizidi ujue kuna sababu za kichwani zaidiJama akikaza kwenye hizi ishu aisee sijui hali itakuwaje..dunia itakuwa ni ubabe ubabe bila mchezo
Tofautisha matajiri na mafisadiJpm alikua masikini, pia na roho ya chuki dhidi ya matajiri Trump ni tycoon sana anapenda matajiri wenzake hiyo ndo tofauti yao.
Hapana hayuko salama hasa issue ya kutaka kuachana na NATO wakati matajiri wa siraha ndo wanakochota pesa hukokama wahafidhina wa kimarekani wana msupport basi yupo salama, #MAGA
... jamaa anachukia Waafrica na anatujua 'in detail'!Wamempa kaburu Rungu kazi tunayo..
Msaidiwe nyie ni walemavu?Tulieni jaman super power china na urusi si wapo watatoa hela kutusaidia
... halafu kaweka jinga lingine linalofikiri lina akili!Ila Trump anaweza kua na shida kwa ubongo... kuna wakati kujiamini kukizidi ujue kuna sababu za kichwani zaidi
Ishu ya mashoga namuunga mkono
wahamiaji haramu(blacks)