Kutokufanya kazi kwa mfumo wa kuripoti wizi, kunafanya raia wengi wapoteze fedha

Kutokufanya kazi kwa mfumo wa kuripoti wizi, kunafanya raia wengi wapoteze fedha

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Kupitia mfumo wa kutoa taarifa kuhusu mali zilizopitea jeshi la polisi huwaibia raia wengi sana shilingi 500.

Yaani unaweza kuwasilisha taarifa zako kwa usahihi kisha baada ya kufanya malipo mfumo unakwambia "Ripoti bado haijathibitishwa" hapo utasubiri hata siku 3 hakibadiliki kitu ndo umeibiwa hivyo.

Ukijaza mara yapili unalipia tena 500 unashangaa unapata kila kitu ndani ya muda mfupi, wapo ambao hurudia hata mara 3 ndipo wanafanikiwa.

Utapeli wa mfumo unakuja hivi:
Hizo shilingi 500 ambazo zinakatwa bila kuleta matokeo huwa hazirudishwi, yaani ndiyo imekula kwako ndugu raia.

Sijui kwanini hawa watu wamejaa utapeli tapeli wa kipuuzi. Nawasilisha.
 
Wanadhibitisha manually, unaenda kituo cha polisi kilicho karbu nawe, wakidhibitisha na mtandaoni inathibitika.
 
Unapewa control number unalipia online, sasa hiyo 500 unaibiwaje we ngosha?

Tafuta hela, 500 sio hela ya kuilalamikia kama kweli ungekuwa unaibiwa, narudia TAFUTA HELA, shwaini wewe!
 
Unapewa control number unalipia online, sasa hiyo 500 unaibiwaje we ngosha?

Tafuta hela, 500 sio hela ya kuilalamikia kama kweli ungekuwa unaibiwa, narudia TAFUTA HELA, shwaini wewe!
Jamaa ana logic kuna watu 500 kwao ni kipengele, je wakiibiwa watu 1000x500 = 500,000 kwa siku mara 365? tusibariki ujinga
 
Kwa Stakishari Polisi ya Ukonga bodaboda akifika tu kituoni hapo analipia sh 1000 hata kama hakuegesha pikipiki yake maadamu amemleta mteja.
 
Wanadhibitisha manually , unaenda kituo cha polisi kilicho karbu nawe, wakidhibitisha na mtandaoni inathibitika
Hapana, ukipoteza mali kama vile line ya simu au vitambulisho kwa mujibu wa maelezo katika tovuti yao huna haja ya kuthibitisha manually, ila ukipoteza vitu vingine ndo utatakiwa kwenda kituo cha karibu.
 
Kupitia mfumo wa kutoa taarifa kuhusu mali zilizopitea jeshi la polisi huwaibia raia wengi sana shilingi 500.

Yaani unaweza kuwasilisha taarifa zako kwa usahihi kisha baada ya kufanya malipo mfumo unakwambia "Ripoti bado haijathibitishwa" hapo utasubiri hata siku 3 hakibadiliki kitu ndo umeibiwa hivyo.

Ukijaza mara yapili unalipia tena 500 unashangaa unapata kila kitu ndani ya muda mfupi, wapo ambao hurudia hata mara 3 ndipo wanafanikiwa.

Utapeli wa mfumo unakuja hivi:
Hizo shilingi 500 ambazo zinakatwa bila kuleta matokeo huwa hazirudishwi, yaani ndiyo imekula kwako ndugu raia.

Sijui kwanini hawa watu wamejaa utapeli tapeli wa kipuuzi. Nawasilisha.
Mimi kwa kweli naona kuna shida sana kwa nchi hii hata ile mifumo ya electronic aliyoanzisha magufulia naona inakaribia kufa yaa paper work sasa ndo zinaibuka. Na hapa mapolisi ndo wanpenda hizi blabla maana Los report wanataka uwepo kati ya 1000 hadi 2000 eti kwa kuwa wanatumia bando
 
Hapana, ukipoteza mali kama vile line ya simu au vitambulisho kwa mujibu wa maelezo katika tovuti yao huna haja ya kuthibitisha manually, ila ukipoteza vitu vingine ndo utatakiwa kwenda kituo cha karibu.
Unachaguaje aina ya vitu ulivyopoteza
 
Moderator mkiambiwa mnaleta U-S-ENGE mnaanza kutufungia, kwanini mme edit kichwa cha uzi? Kilikuwa na shida gani? Acheni uf-ala.
 
Back
Top Bottom