Kutokwa na damu wakati wa kujisaidia haja kubwa. Je, ni tatizo gani hili?

Uko sahihi sana,mimi ninavifuatilia sana hivi vitu na imenisaidia kwa kiwango kikubwa kuwa nawahi matibabu...
 
Mimi nikijisaidia choo huwa na marenda nasumbuliwa, na maumivu upande wa kulia Chini ya mbavu nini tatizo?
 
Habari zenu jamani mwenye kujua hili tatizo aniambie, leo siku ya tatu nikienda kujisaidia aja kubwa mara baada ya kumaliza damu zinaanza kutoa kwa muda ule ambao nipo chooni, zinatoka utafikiri nimejikata, tatizo linaweza kuwa nini mnisaidie.
 
Choo unachojisaidia ni kigumu?? Kunywa maji mengi, mboga mboga na matunda jamii ya maembe na mapapai
 
Kama umejikata? Kwamba maumivu kama umejikata au rangi ya damu ni fresh hivyo unadhani umejikata?

Wanasema kama rangi ya damu ni fresh inaweza kua bawasiri ila kama ni dark red vinaweza kua vidonda vya tumbo.

Nenda hospitalI.
 
Habari zenu jamani mwenye kujua hili tatizo aniambie, leo siku ya tatu nikienda kujisaidia aja kubwa mara baada ya kumaliza damu zinaanza kutoa kwa muda ule ambao nipo chooni, zinatoka utafikiri nimejikata, tatizo linaweza kuwa nini mnisaidie.
Kwa ushauri zaidi nenda hospital mkuu huenda kuna mishipa midogo ya pembezoni imedhurika
 
Kama umejikata? Kwamba maumivu kama umejikata au rangi ya damu ni fresh hivyo unadhani umejikata?

Wanasema kama rangi ya damu ni fresh inaweza kua bawasiri ila kama ni dark red vinaweza kua vidonda vya tumbo.

Nenda hospitalI.
Sijisikii maumivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…