Kutoza watu pesa kuingia viwanja vya Sabasaba na Nanenane haijakaa sawa

Kutoza watu pesa kuingia viwanja vya Sabasaba na Nanenane haijakaa sawa

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Kwanini wakulima na wafanyabiashara watozwe pesa kuingia kuangalia mambo siku ya sikukuu zao? Mbona wafanyakazi hawatozwi pesa kuingia viwanjani siku ya Mei mosi?

Waandaaji watafute namna ya kupata pesa lakini siyo kuchaji wakulima na wafanyabiashara. Ni utapeli.
 
Muhula huu wa utawala wa ^war-who-knee,^ manyang'au yamepania kuwapiga, kuwabinya, kuwaguyuguza na kuwakamua raia hadi furaha na shangwe yao ya the last five years ipotolee kusikojulikana. Ni mwendo wa ^REDO!^

Anyways, BETTER DAYS TO COME! Freedom is coming tomorrow!
 
Huu utaratibu mbona upo miaka nenda! Saba saba na Nane nane, miaka yote huwa na kiingilio.

Kumbuka kuna kuna maandalizi ya hayo maonesho. Gharama za kufidia zitatoka wapi iwapo tutaingia bure?
Mada mbona ipo poa jamaa kasema itafutwe pesa nje ya kiingilio ili watu waweze kuingia bure, binafsi kuna hoja ya msingi hapa kwa sababu washiriki wote huwa wanatoa fees fulan then bado kunakuwa na kiingilio kwanini?

So kwa nini isichajiwe kwa uwingi wa watu watakaotembelea banda lako cha msingi ni control tu ziimarishwe ili kila mtu atakaenda kwenye banda fulan akinunua au kutembelea kuwe na tozo fulan hivi inaenda Serikalini

Pia ikiwa bure watu wataongezeka sana na biashara ndani ya sabasaba itakuwa kubwa kwa sababu kuingia bure lakini atashawishika kununua chochote.
 
Mada mbona ipo poa jamaa kasema itafutwe pesa nje ya kiingilio ili watu waweze kuingia bure binafsi kuna hoja ya msingi hapa kwa sababu washiriki wote huwa wanatoa fees fulan then bado kunakuwa na kiingilio kwa nn?
So kwa nn isichajiwe kwa uwingi wa watu watakao tembelea banda lako cha msingi ni control tu ziimarishwe ili kila mtu atakaenda kwenye banda fulan akinunua au kutembelea kuwe na tozo fulan iv inaenda Serikalini
Pia ikiwa bure watu wataongezeka sana na biashara ndani ya sabasaba itakuwa kubwa kwa sababu kuingia bure lakin atashawishika kununua chochote

Point kubwa
 
Muhula huu wa utawala wa ^war-who-knee,^ manyang'au yamepania kuwapiga, kuwabinya, kuwaguyuguza na kuwakamua raia hadi furaha na shangwe yao ya the last five years ipotolee kusikojulikana. Ni mwendo wa ^REDO!^

Anyways, BETTER DAYS TO COME! Freedom is coming tomorrow!
Saba saba ipi watu walikuwa wanaingia bure .....

Ova
 
Huu utaratibu mbona upo miaka nenda! Saba saba na Nane nane, miaka yote huwa na kiingilio.

Kumbuka kuna kuna maandalizi ya hayo maonesho. Gharama za kufidia zitatoka wapi iwapo tutaingia bure?
Navyofahamu mimi kila mshiriki kwenye maonesho analipia gharama kulingana na ukubwa wa eneo analotaka kutumia.

Hiyo pesa haitoshi kurudisha gharama? Au ni biashara inatafutwa faida tele.
 
Yani ni sawa na pale Mlimani city au kariakoo kuzungushwe uzio halafu watu waingie Kwa viingilio Kwa kulipishwa pesa.

Mwananchi anakuja kununua au kufanya window shopping au kupata awareness ili aje kununua kiwandani bidhaa au huduma,

Sasa badala ya kuwa-encourage mnawa-discourage kwa kuwatoza pesa ? [emoji2357]
 
Nyingi sana.

Gari kupaki kwa siku bila kujali muda ilikuwa 10,000 /- sijui safari hii,

Bila gari kichwa kati ya 3,000/- na kuendelea,

Fikiria mmeenda na wanafamilia kadhaa itakuwa shilingi ngapi?

Bado hamjaenda kula wala kunywa.
Hela ni nyingi hiyo na usawa huu sio poa. Hivi ni kwa mikoa yote au hiyo entrance fee ipo mkoa uliopo?
 
Kwanini wakulima na wafanyabiashara watozwe pesa kuingia kuangalia mambo siku ya sikukuu zao? Mbona wafanyakazi hawatozwi pesa kuingia viwanjani siku ya mei mosi?

Waandaaji watafute namna ya kupata pesa lakini siyo kuchaji wakulima na wafanyabiashara. Ni utapeli.
Hii hainaga tofauti na kutoza watu kuingia stand
 
Huu utaratibu mbona upo miaka nenda! Saba saba na Nane nane, miaka yote huwa na kiingilio.

Kumbuka kuna kuna maandalizi ya hayo maonesho. Gharama za kufidia zitatoka wapi iwapo tutaingia bure?
Mbona wanakuwa na wadhamini? hao wadhamini walipia uchapachaji wa tiketi tu au?
 
Muhula huu wa utawala wa ^war-who-knee,^ manyang'au yamepania kuwapiga, kuwabinya, kuwaguyuguza na kuwakamua raia hadi furaha na shangwe yao ya the last five years ipotolee kusikojulikana. Ni mwendo wa ^REDO!^

Anyways, BETTER DAYS TO COME! Freedom is coming tomorrow!
Dah! Furaha gani ilikuwepo kwenye miaka mitano iliyopita?
 
Back
Top Bottom