Badili mtazamo, kitu kuwepo tangu kitambo hakiwezi kuwa kigezo cha kuthibitisha uhalali wake. Mabadiliko hayana budi kuja ikiwa ni ya muhimu. -Wanaorusha matangazo ya 77 kwenye tv na redio wanalipia sh ngapi?
- wafanyabiashara wanaongesha biashara zao na ubunifu wao wanalipaje?
Wangeweza hata kuificha hiyo tozo kwenye bei ya kila bidhaa mtu anayonunua ili kuzuia wafanyabiashara wasitumie maonyesho kama sehemu ya kuuza hivyo kushika nafas kubwa ya kuweka bidhaa nyingi za aina moja hadi sehemu za kupita zinakuwa finyu, pale tuonyeshwe tu tukanunue huko kwao madukani