Kutoza watu pesa kuingia viwanja vya Sabasaba na Nanenane haijakaa sawa

Kutoza watu pesa kuingia viwanja vya Sabasaba na Nanenane haijakaa sawa

Mkurugenzi yupo humu nadhani ni msikivu so next year anaweza kulifanyia kazi.
Maonesho ya biashara sio kwa ajili ya malofa na watu maskini uelewe hilo.

Kiingilio kinasaidia kupunguza maskini kujazana kwenye maonyesho ya biashara.

Unaweka hadi kingereza ohh next year wakati lofa hela huna Elfu Tatu tu ya kiingilio unaona nyingi.
 
Acheni masihara kila mtu anawajua wabongo walivyo wakifuta kiingilio Mbagala na Temeke yote itahamia pale kutakuwa hamna pa kukanyaga masela mavi na vibaka watajazana vya kutosha.. Bora kiingilio kibaki.
 
Ni kweli masela nnyaa watajazana kinoma hadi loba zitapigwa mchana kweupe wacha watoze pesa.
 
Wewe tozo huzioni? Hadi nywele bandia na kodi ya kichwa, Mguu wa Chumba anaziandaa, soon zinaingizwa kwenye chaneli mtaani.

Upofu wa serikali huuoni? Upigaji wa kasi ya 10G hujauona? Miradi? Safari kibao za Uarabuni na Marekani kwenye Royo Tuwa? Wamaasai Serengeti & Loliondo? Machinga? Hivi soko la Kariakoo liko sehemu gani vile?

Halafu, mmekopa trilioni ngapi hadi sasa? Vipi kuhusu usimamizi wa mali za umma na udhibiti wa matumizi ya rasimali na fedha?
Upigaji haujaanza leo wala jana

Alafu dunia ya leo hakuna bure

Sabasaba miaka nenda rudi kuingia

Na kiingilio

Ova
 
Watanzania wanapenda kulia lia vya bure
 
Wewe tozo huzioni? Hadi nywele bandia na kodi ya kichwa, Mguu wa Chumba anaziandaa, soon zinaingizwa kwenye chaneli mtaani.

Upofu wa serikali huuoni? Upigaji wa kasi ya 10G hujauona? Miradi? Safari kibao za Uarabuni na Marekani kwenye Royo Tuwa? Wamaasai Serengeti & Loliondo? Machinga? Hivi soko la Kariakoo liko sehemu gani vile?

Halafu, mmekopa trilioni ngapi hadi sasa? Vipi kuhusu usimamizi wa mali za umma na udhibiti wa matumizi ya rasimali na fedha?
Upigaji haujaanza leo wala jana

Halafu dunia ya leo hakuna bure

Sabasaba miaka nenda rudi kuingia

Na kiingilio

Ova
 
Upigaji haujaanza leo wala jana
Kuna tofauti KUBWA SANA kati ya kujinasibu kisha kudiriki dhahiri shahiri kupambana dhidi ya upigaji, na kuwahamasisha ^war-who-knee^ wale kadiri ya urefu wa kamba zao. Huu ni ushamba wa kiwango cha Iskander.
 
Nyie mnaolalamika mmekuja Dar na malori ya magimbi..? Huo utaratibu upo tangu enzi na enzi. Sabasaba77 ni International Business Exhibition msifikiri ni maonyesho ya Siku ya Gulio Katerero au Kishumundu...
Kuwepo toka Enzi sio sababu, hiki ni kizazi cha kudadisi mambo.
 
Maonesho ya biashara sio kwa ajili ya malofa na watu maskini uelewe hilo.
Kiingilio kinasaidia kupunguza maskini kujazana kwenye maonyesho ya biashara.
Unaweka hadi kingereza ohh next year wakati lofa hela huna Elfu Tatu tu ya kiingilio unaona nyingi.
Umeachwa na mumeo nini?.

Yaani umeleta hasira kwangu ukidhani nilikuwepo kwenye ugomvi wako, shubamit..!
 
Acheni masihara kila mtu anawajua wabongo walivyo wakifuta kiingilio Mbagala na Temeke yote itahamia pale kutakuwa hamna pa kukanyaga masela mavi na vibaka watajazana vya kutosha.. Bora kiingilio kibaki.



Sio kweli na wala si kwa kiasi hicho .

Mbona kariakoo si kiasi hicho ?

Mbona Mlimani City na Malls nyingine kubwa si kiasi hicho pamoja na kwamba watu wanaingia bure ?

Do not presume responsibilities.
 
Kuwepo toka Enzi sio sababu, hiki ni kizazi cha kudadisi mambo.
Nitajie international business exhibition ambayo kuingia ni free..?
Nyie wabongo punguzeni primitive mind, dunia haipo huko tena...
 
Nitajie international business exhibition ambayo kuingia ni free..?
Nyie wabongo punguzeni primitive mind, dunia haipo huko tena...
Tatizo maonyesho ya biashara wanadhani ni tourist attraction!!! Kwenda kuzurura kama out yao

Hawaelewi maana ya maonyesho ya biashsra
 
Sio kweli na wala si kwa kiasi hicho .

Mbona kariakoo si kiasi hicho ?

Mbona Mlimani City na Malls nyingine kubwa si kiasi hicho pamoja na kwamba watu wanaingia bure ?

Do not presume responsibilities.
Unajua maana ya show?

Mlimani City huwa wanaonyesha trade show?

Show ukiona hata za wana mziki huwa unalipia sembuse International trade show

Ukiona kuna mahali unaambiwa kuna show iwe music show,taarabbu show nk kaa nayo mbali kama wewe lofa jua kiingilio kipo.Sio bure
 
Unajua maana ya show?

Mlimani City huwa wanaonyesha trade show?

Show ukiona hata za wana mziki huwa unalipia sembuse International trade show

Ukiona kuna mahali unaambiwa kuna show iwe music show,taarabbu show nk kaa nayo mbali kama wewe lofa jua kiingilio kipo.Sio bure
Acha uongo kila mwaka Syria wanakuwa na trade show diamond jubilee ni bure kabisa
 
Back
Top Bottom