YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Uwe unaenda huko na kushinda hukoAcha uongo kila mwaka Syria wanakuwa na trade show diamond jubilee ni bure kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe unaenda huko na kushinda hukoAcha uongo kila mwaka Syria wanakuwa na trade show diamond jubilee ni bure kabisa
Mimi nafikiri kuna haja Sasa kwa Tanzania kuwa na Sikukuu za:-Huu utaratibu mbona upo miaka nenda! Saba saba na Nane nane, miaka yote huwa na kiingilio.
Kumbuka kuna maandalizi ya hayo maonesho. Gharama za kufidia zitatoka wapi iwapo tutaingia bure?
Mkuu sasa tufanyajeKuna tofauti KUBWA SANA kati ya kujinasibu kisha kudiriki dhahiri shahiri kupambana dhidi ya upigaji, na kuwahamasisha ^war-who-knee^ wale kadiri ya urefu wa kamba zao. Huu ni ushamba wa kiwango cha Iskander.
Hii Saba saba miaka ya nyuma ilikuwa ni sikukuu kubwa sana. Na chimbuko lake lilikuwa ni kuzaliwa kwa chama cha TANU tarehe na mwezi huo, mwaka 1954! Na ilikuwa ni sikukuu ya wakulima!Mimi nafikiri kuna haja Sasa kwa Tanzania kuwa na Sikukuu za:-
1. Moja Moja
2. Mbili Mbili
3. Tatu Tatu
4. Nne Nne
5. Tano Tano
6. Sita Sita
9. Tisa Tisa
10. Kumi Kumi
11. Kumi na Moja Kumi na Moja
12. Kumi na Mbili Kumi na Mbili
Ulivyo mwoga hata hutaki kujitoa mhanga kwa ajili ya wajukuu zako watakaozaliwa huko 2070?Mkuu sasa tufanyaje
Hatuna jinsi,waache wale
Wapige mpaka wenyewe waseme inatosha..
Ova
Wakiingia Bure tutajaza wahuni na vibaka mule refer mechi za Bure taifa.Kuna kuwatoza wafanyabiashara na kuwatoza pesa wananchi.
Hii ya kutoza pesa wananchi sio sahihi hata kidogo.
Binafsi sikumbuki mara yangu ya mwisho kwenda kwenye hayo maonyeshoKwani wanatoza sh ngapi?
Sabasaba ya mwaka huu imedoda mnoHuu utaratibu mbona upo miaka nenda! Saba saba na Nane nane, miaka yote huwa na kiingilio.
Kumbuka kuna maandalizi ya hayo maonesho. Gharama za kufidia zitatoka wapi iwapo tutaingia bure?
Wakiingia Bure tutajaza wahuni na vibaka mule refer mechi za Bure taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuteni fedha sehemu zingine ili wakulima wanaowauzia mazao kwa bei ndogo waje kupata Elimu wengi wa wanaokuja ni wale wanaojiweza na wa mjini mpo busy kugharamia mwenge vitu vya msingi mnaulizia mtapata wapi pesa ila naamini kizazi kijacho kinachojitambua kitaondoa hizo mambo wacha tuendelee kuwaibia wakulima haki zao...Huu utaratibu mbona upo miaka nenda! Saba saba na Nane nane, miaka yote huwa na kiingilio.
Kumbuka kuna maandalizi ya hayo maonesho. Gharama za kufidia zitatoka wapi iwapo tutaingia bure?
Lakini Hili analolisema mtoa mada halijaanza leoMuhula huu wa utawala wa ^war-who-knee,^ manyang'au yamepania kuwapiga, kuwabinya, kuwaguyuguza na kuwakamua raia hadi furaha na shangwe yao ya the last five years ipotolee kusikojulikana. Ni mwendo wa ^REDO!^
Anyways, BETTER DAYS TO COME! Freedom is coming tomorrow!
Lakini Hili analolisema mtoa mada halijaanza leo
Lakini awamu hii ndipo tumesikia kauli tata kama:Lakini Hili analolisema mtoa mada halijaanza leo