Russia alithibitisha au ndio matango mliyokuwa mnalishwa kama.mlibyolishwa kuhusu Kherson kurudishwa kwa Ukraine hadi ukweli ulipowlea jana kuwa jamaa wanapiga kura kujiunga na Russia.
Kabla ya jana mlijaza habari humu oooh, wanajeshi wa Russia wamefurushwa na majeshi ya Ukraine wakitumia silaha za kisasa za NATO.
Vipi bado unaamini Kherson ipo mikononi mwa Ukraine, au kuna mapigano Kherson?
Hao majenerari unawajua wewe na NATO. Taarifa za kupika