Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hawana akili
Halafu kuna watu utawasikia eti Urusi hatumii jeshi huko Ukraine anatumia wafungwa tu,sasa hao majenerali wanatoka wapi?!
Jamaa aliingiza jeshi wakafyekwa akajazia mamluki wa Wagner nao wakafyekwa,sasa anajazia wengine laki3.