Kuuawa kwa majenerali wa Urusi na vita kuchukua muda mrefu ni ishara kuwa jeshi hilo halina uwezo unaosemwa

Kuuawa kwa majenerali wa Urusi na vita kuchukua muda mrefu ni ishara kuwa jeshi hilo halina uwezo unaosemwa

kusaidiwa tu si tiket ya kushinda, Afghanistan walisaidiwa mafunzo, silaha zote za kijeshi na kifedha ila Taleban walikuja kwa miguu tu na A.K.A 47 serikali ikakimbia wakaacha vyote walivyosaidiwa na kufundishwa kwa miaka 20.
hiyo inatoa picha kwamba UTAMBULISHO wao tu TALEBAN kama Taleban ni ilikuwa ni kitisho tosha kwa serikali iliyoachwa na marekani.

picha hii tuliyoiona kwa Afghanistan ndiyo tulipaswa kuiona kwa Ukraine baada ya urusi kuivamia Ukraine.
hata yeye putin alitegemea kuona Ukraine ikisalimu Amri japo watakuwa na uhakika wa misaada toka west.

Urusi ni dhaifu na chochote kinachotoka mikono mwake ni dhaifu pia.

hata silaha zake zote alizokuwa anazipatia nchi kiarabu kuipigana na Israel hazikufanikiwa kwasababu ni dhaifu.

furthermore ukisema ni misaada ndiyo inaibeba ukrein basi inabidi ukubali kwamba west ina nguvu kuliko Urusi. ikiwa mpewa misaada tu anaiyumbisha Urusi namna hii vipi wao wenyewe waingia mazima, Urusi itasimama?.
Right on the money
 
Haya ndo tunaita mawazo huru, mawazo chanya yasiyofungamana na upande wowote ule.
Huu uzi umetulia sana,kuna hoja nzito zinatolewa na wengine tunajiongezea maarifa.
 
Timu USA imejaza humu inaongea nonsense
Na huku umeanza kupanic tena,tulia kwenye huu uzi shusha nondo tukusome,hizi lugha zipeleke kwa ule uzi wa LIVE,maana mmeshauharibu hadi tunakwenda nao kimzaha mzaha tu
 
Nyie team USA ningependa muangalie hii video kilichomtokea waziri mkuu wa Canada[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tuache utani Ukraine inaharibiwa soon huyo Rais wenu atasarenderView attachment 2161054
IMG_20220323_000659_368.jpg
View attachment 2161055View attachment 2161056
 
Kuna jambo hulijui au unapotezea makusudi kama hulijui.
Kule Afghanistan Urusi alikuwa anapambana na majeshi/wanamgambo waliokuwa wanapewa msaada na wamarekani wa silaha, fedha na mafunzo.

Vivyo hivyo huko Ukraine wanasaidiwa na Marekani pamoja na wanachama wengine wa NATO silaha, pesa, mamluki na taarifa za intelijensia.

Lakini Marekani alipopigana Iraq, Afghanistan na kwingine kulikuwa hakuna nchi zilizo wasaidia hao adui waliokuwa wanapigana na Marekani. Wakati huo huo Marekani alikuwa anasaidiwa na nchi nyingi za NATO na zisizokuwa wanachama wa NATO.

Usahihi wa hoja yangu unapatikana Syria ambako Marekani na washirika wake wameshindwa kumuondoa Assad sababu alipewa msaada wa kijeshi na mengineyo toka kwa Urusi.

Wewe ni muhanga wa propaganda za western media.

unatumia Syria kama uti wa mgogo wa hoja yako uku ukiacha mifano mingi na kikubwa.

US hajapoteza kitu Syria as hadi sasa yupo kwenye visima vya mafuta.

uko Afghanistan, Taleban walikuwa wakipata misaada ya vifaa vya kijeshi kutoka nchi za kiarabu Pakistan na Urusi(indirectly) kuipiga US.
anapopigana US ujue mrusi yupo direct ama indirectly.
Wakati (SOVIET) aliposimama nyuma ya nchi kadhaa za kiarabu US alimama nyuma ya nchi moja tu changa na jeshi dogo zaidi ila bado URUSI akapoteza na silaha zake.

Nb, hoja yangu ni kwamba:, ikiwa misaada ya west tu inaweza yumbisha nguvu ya jeshi la Urus , vipi west wenyewe waingie vitani na Urusi kuna hali gani itatokea?.
vifaa jeshi inayopewa Ukraine ni sehemu ndogo sana katika muungano wa west na sasa Urusi katepeta lakini bado mnataka tuamini kwamba Urusi ina uwezo wa kupiga nchi zote za Nato.
 
unatumia Syria kama uti wa mgogo wa hoja yako uku ukiacha mifano mingi na kikubwa.

US hajapoteza kitu Syria as hadi sasa yupo kwenye visima vya mafuta.

uko Afghanistan, Taleban walikuwa wakipata misaada ya vifaa vya kijeshi kutoka nchi za kiarabu Pakistan na Urusi(indirectly) kuipiga US.
anapopigana US ujue mrusi yupo direct ama indirectly.
Wakati (SOVIET) aliposimama nyuma ya nchi kadhaa za kiarabu US alimama nyuma ya nchi moja tu changa na jeshi dogo zaidi ila bado URUSI akapoteza na silaha zake.

Nb, hoja yangu ni kwamba:, ikiwa misaada ya west tu inaweza yumbisha nguvu ya jeshi la Urus , vipi west wenyewe waingie vitani na Urusi kuna hali gani itatokea?.
vifaa jeshi inayopewa Ukraine ni sehemu ndogo sana katika muungano wa west na sasa Urusi katepeta lakini bado mnataka tuamini kwamba Urusi ina uwezo wa kupiga nchi zote za Nato.
USA Hana visima vya mafuta Syria
 
Russia kama wangewaua marines 5 tu picha zao wangepeleka mpaka Umoja wa Mataifa. Mwezi unaisha sasa ngoma bado.
Ni kweli wapo na ndio hao wanauliwa alafu CNN wanasingizia kwamba ni waandishi wa habari wanauwawa kumbe ni Makomandoo wa USA
 
Hivi ni Urusi wanapigana Ukraine ama Russia na Ukraine?
Ahaaa. Yaani Russia walivamia jiran yao Ukrain. Lakini sasa inaonekana Russia nae ndio anaomba mazungumzo ya ukweli vita iishe.
Inaelejea Ukrain anampiga Russia sasa. Urusi ni Kiswahili.
Ila mkubwa hajambi, Pole putin
 
Back
Top Bottom