Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashuka vibaya mno!Wala hakuna tatizo lolote jamani , nimeuliza tu maana kutoka kuwa Mkurugenzi wa Tiss hadi kuwa Katibu Mkuu Ikulu , sijajua wapi ni juu .
Je sasa amepandishwa Cheo au Ameshushwa ?
Natanguliza shukrani .
Hamna diwani sio mtu mbaya na ni mshika dini haswaa na ana rekodi tamu sana kuanzia urpc,ukuu wa mkoa na sehemu nyingine alizopita ila si mara zote unaweza kufaulu sehemu zote,kusema ukweli idara yetu ya usalama wa taifa ilipwaya sana kwenye suala la ujasusi wa kiuchumi hili lipo wazi thus why nkawish siku moja afanyiee replacement tupate bora zaidi yake sio kwamba roho yangu ilijifunga kwa yeye kuwa DG wa TISS....Kwahiyo kumbe ni wewe ndo ulikuwa unamroga ndugu diwani?😒 walimwengu bhana
Aisee..Sijui kwanini leo kabla ya uteuzi niliwaza kama ningekuwa raisi ningempangia majukumu mengine diwani Athumani,nashangaa jioni hii napata taarifa ambayo ilikuwa ni wish yangu nimejikuta natabasamu tu🙂
Naye kashuka!Na blowing Katanga kaenda wapi jamani?he is very perfect
Ndio vyeo vya teuzi vilivyo.Kashuka vibaya mno!
Hiki nini umepost mwehu wewe?
Ni wakati uleee wa Mwendazake, aliingia Idara ilikuwa imeshakuwa hovyo kabisa.Hamna diwani sio mtu mbaya na ni mshika dini haswaa na ana rekodi tamu sana kuanzia urpc,ukuu wa mkoa na sehemu nyingine alizopita ila si mara zote unaweza kufaulu sehemu zote,kusema ukweli idara yetu ya usalama wa taifa ilipwaya sana kwenye suala la ujasusi wa kiuchumi hili lipo wazi thus why nkawish siku moja afanyiee replacement tupate bora zaidi yake sio kwamba roho yangu ilijifunga kwa yeye kuwa DG wa TISS....
Kwani wame kurupushwa? Nadhani wamejadiliana na kukubaliana wapi wamuwekeNafasi ya mkurugenzi wa usalama wa taifa ni kubwa sana hivyo kama mtu hajafikisha umri wa kustaafu basi huwa utamaduni ni kumpeleka ubalozini huko nje.
Ninategemea mhe rais atarekebisha hapo kutunza heshima ya huyo aliyehamishiwa hapo ikulu.
Mods ikiwapendeza msiunganishe uzi.
Ila SIO LAZIMANafasi ya mkurugenzi wa usalama wa taifa ni kubwa sana hivyo kama mtu hajafikisha umri wa kustaafu basi huwa utamaduni ni kumpeleka ubalozini huko nje.
Ninategemea mhe rais atarekebisha hapo kutunza heshima ya huyo aliyehamishiwa hapo ikulu.
Mods ikiwapendeza msiunganishe uzi.
Wanamakusidi yao kwa sasa wanampima presha na mapokeo ya walichofanya. Hio ni Mipango ubalozi ataenda tu, na kama alishahudumu ubalozi hapo kabla basi kawaambia live kuwa ubalozi hawezi kurudi tena.Nafasi ya mkurugenzi wa usalama wa taifa ni kubwa sana hivyo kama mtu hajafikisha umri wa kustaafu basi huwa utamaduni ni kumpeleka ubalozini huko nje.
Ninategemea mhe rais atarekebisha hapo kutunza heshima ya huyo aliyehamishiwa hapo ikulu.
Mods ikiwapendeza msiunganishe uzi.
Mwendazake DG wa TISS alijifanya yeye,Jaji mkuu ni yeye,spika wa bunge ni yeye,CAG ni yeye yaani alikuwa a vurugu sana huyu bwana..Mungu amlaze mahali pema peponiNi wakati uleee wa Mwendazake, aliingia Idara ilikuwahovyo kabisa.
That he survived thus far is a wonder!
TunaunganishaMods ikiwapendeza msiunganishe uzi
Ujasusi WA kiuchumi ndio ukoje?Hamna diwani sio mtu mbaya na ni mshika dini haswaa na ana rekodi tamu sana kuanzia urpc,ukuu wa mkoa na sehemu nyingine alizopita ila si mara zote unaweza kufaulu sehemu zote,kusema ukweli idara yetu ya usalama wa taifa ilipwaya sana kwenye suala la ujasusi wa kiuchumi hili lipo wazi thus why nkawish siku moja afanyiee replacement tupate bora zaidi yake sio kwamba roho yangu ilijifunga kwa yeye kuwa DG wa TISS....