Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Ujuaji mwingi mbele kiza. Usipende kuwa mjuajk kwa vitu usivyovijua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote hao mzena na kitine ni enzi za zamani kabla usalama haujawa taasisi imara kama miaka hii. Kwa miaka ya karibuni tumeona wakipelekwa nje kwenye balozi.Nendeni mkajifunze historia mjue Dr Hassy Kitine na Mzena baada ya kutoka kuwa ma DG wa TISS walipelekwa wapi?
Katibu Mkuu Ikulu sio cheo cha mchezo mchezo Dunia nzima
hadhi ya Balozi ni ndogo kuliko hadhi ya Katibu Mkuu wa Foreign affairs
hadhi ya Katibu Ikulu ni kubwa kuliko Katibu wa Wizara yeyote
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Upo serious kweli? From mkurugenzi wa usalama wa taifa to Katibu wa ikulu afu unauliza swali kama hili? Ndo maana unamshabikia mbowe
Wala hakuna tatizo lolote jamani , nimeuliza tu maana kutoka kuwa Mkurugenzi wa Tiss hadi kuwa Katibu Mkuu Ikulu , sijajua wapi ni juu .
Je sasa amepandishwa Cheo au Ameshushwa ?
Natanguliza shukrani .
Apewe ubalozi Sudan ya kusini au SomaliaWala hakuna tatizo lolote jamani , nimeuliza tu maana kutoka kuwa Mkurugenzi wa Tiss hadi kuwa Katibu Mkuu Ikulu , sijajua wapi ni juu .
Je sasa amepandishwa Cheo au Ameshushwa ?
Natanguliza shukrani .
Ni Mkuu wa Watumishi wa Serikali nchini na Katibu wa Baraza la Mawaziri wa Jamhuri.Diwani Athman ameshuka sana. Katibu Mkuu Ikulu ana supervise watumishi wa Ikulu tu. Lakini siyo watumishi wa Ofisi Binafsi ya Ikulu (OBR). Majukumu yake ni madogo kuliko hata Makatibu Wakuu wa Mawizara hususan kasma
Mtu aliyepanda cheo ni Moses Kusiluka ambaye anakuwa Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), huyu ni Mkuu wa Makatibu Wakuu wote.
Sasa huyu Diwani siyo Katibu Mkuu KiongoziNendeni mkajifunze historia mjue Dr Hassy Kitine na Mzena baada ya kutoka kuwa ma DG wa TISS walipelekwa wapi?
Katibu Mkuu Ikulu sio cheo cha mchezo mchezo Dunia nzima
hadhi ya Balozi ni ndogo kuliko hadhi ya Katibu Mkuu wa Foreign affairs
hadhi ya Katibu Ikulu ni kubwa kuliko Katibu wa Wizara yeyote
Mambo ya Yerricko NyerereUjasusi WA kiuchumi ndio ukoje?
MarekaniNa blowing Katanga kaenda wapi jamani?he is very perfect
Kumbuka kwamba siyo Katibu Mkuu kiongozi , ni katibu mkuu wa Ikulu tuNi Mkuu wa Watumishi wa Serikali nchini na Katibu wa Baraza la Mawaziri wa Jamhuri.
[emoji38][emoji38][emoji38]Sasa kutoka udiwani hadi ikulu si kama dodo chini ya mnazi
HahahahaUpo serious kweli? From mkurugenzi wa usalama wa taifa to Katibu wa ikulu afu unauliza swali kama hili? Ndo maana unamshabikia mbowe
Aisee . . Kashuka sana yaaniKumbuka kwamba siyo Katibu Mkuu kiongozi , ni katibu mkuu wa Ikulu tu
Amepanda maana Diwani Athumani ki hadhi ni sawa tu na mkurugenzi wa idara wizarani...Wala hakuna tatizo lolote jamani , nimeuliza tu maana kutoka kuwa Mkurugenzi wa Tiss hadi kuwa Katibu Mkuu Ikulu , sijajua wapi ni juu .
Je sasa amepandishwa Cheo au Ameshushwa ?
Natanguliza shukrani .
Hivi kuondoka kwa Diwani ndio TISS itakua Bora ?Hamna diwani sio mtu mbaya na ni mshika dini haswaa na ana rekodi tamu sana kuanzia urpc,ukuu wa mkoa na sehemu nyingine alizopita ila si mara zote unaweza kufaulu sehemu zote,kusema ukweli idara yetu ya usalama wa taifa ilipwaya sana kwenye suala la ujasusi wa kiuchumi hili lipo wazi thus why nkawish siku moja afanyiee replacement tupate bora zaidi yake sio kwamba roho yangu ilijifunga kwa yeye kuwa DG wa TISS....