Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,666
- 847
Sawa . . . Ila huwezi linganisha na Mkuu wa Usalama wa taifaNendeni mkajifunze historia mjue Dr Hassy Kitine na Mzena baada ya kutoka kuwa ma DG wa TISS walipelekwa wapi?
Katibu Mkuu Ikulu sio cheo cha mchezo mchezo Dunia nzima
hadhi ya Balozi ni ndogo kuliko hadhi ya Katibu Mkuu wa Foreign affairs
hadhi ya Katibu Ikulu ni kubwa kuliko Katibu wa Wizara yeyote