Kuuliza si ujinga: Hivi Diwani Athumani kashuka au kapanda?

Kuuliza si ujinga: Hivi Diwani Athumani kashuka au kapanda?

Nendeni mkajifunze historia mjue Dr Hassy Kitine na Mzena baada ya kutoka kuwa ma DG wa TISS walipelekwa wapi?

Katibu Mkuu Ikulu sio cheo cha mchezo mchezo Dunia nzima

hadhi ya Balozi ni ndogo kuliko hadhi ya Katibu Mkuu wa Foreign affairs

hadhi ya Katibu Ikulu ni kubwa kuliko Katibu wa Wizara yeyote
Sawa . . . Ila huwezi linganisha na Mkuu wa Usalama wa taifa
 
Chief of staff (katibu wa Ikulu) ni nafasi nyeti sana and very senior kwenye serikali yeyote duniani.

Nchi nyingine hasa zenye unitary constitution kama muundo wa UK (ambao tume-copy) ni mkubwa kushinda katibu mkuu kiongozi ambae ni head of civil services (which includes idara za usalama).

In other words Diwani Athumani hiyo ni promotion.
Khaa . . . Promotion ?

Katibu Mkuu kiongozi ni mkubwa sana aisee. It's like the second vice president.
.Ni mkubwa mno
 
Khaa . . . Promotion ?

Katibu Mkuu kiongozi ni mkubwa sana aisee. It's like the second vice president.
.Ni mkubwa mno
Sijabisha katibu mkuu kiongozi ni mtu mkubwa sana akiwa kama head of civil service makatibu wakuu wote yeye ndio boss wao na idara zote za serikali.

Na katibu wa Ikulu pia sio mtu mdogo yeye ndio ana control maswala ya Ikulu including taarifa za katibu mkuu kwa raisi; sasa nani mkubwa kati ya hao wawili inategemea na nchi.

Ila tulipo kopa katiba chief of staff ni mkubwa zaidi ya katibu mkuu kiongozi. Sijasema na Tanzania ni hivyo.

Either way kwa Diwani ni promotion (on paper) kutoka kuongoza Idara, kwenda Ikulu.
 
Nendeni mkajifunze historia mjue Dr Hassy Kitine na Mzena baada ya kutoka kuwa ma DG wa TISS walipelekwa wapi?

Katibu Mkuu Ikulu sio cheo cha mchezo mchezo Dunia nzima

hadhi ya Balozi ni ndogo kuliko hadhi ya Katibu Mkuu wa Foreign affairs

hadhi ya Katibu Ikulu ni kubwa kuliko Katibu wa Wizara yeyote
All in All amepigwa NDOIGE aka SUGUNYO PELESO PELESO na MAZERI.
 
Hivi kuondoka kwa Diwani ndio TISS itakua Bora ?

Tunataka mabadiliko ya sura ya mtu au mabadiliko ya kitaasisi ?
Utapataje mabadiliko ya kitaasisi bila kufanya mabadiliko ya watu!?,in normal sense unaweza kuimbia taasisi badilika bila kudeal na staffs ambapo kimsingi inabidi uanze na shina kama hivyo ulivyofanyika kuanza na DG wengine watafuatia..Ubora wa taasisi unatokana na ubora wa kiutendaji hata CIA ilikuwa bora zaidi ya sasa kipindi cha Dulles kama FBI ilivyokuwa moto enzi za J.EDGAR HOOVER
 
Chief of staff (katibu wa Ikulu) ni nafasi nyeti sana and very senior kwenye serikali yeyote duniani.

Nchi nyingine hasa zenye unitary constitution kama muundo wa UK (ambao tume-copy) ni mkubwa kushinda katibu mkuu kiongozi ambae ni head of civil services (which includes idara za usalama).

In other words Diwani Athumani hiyo ni promotion.
Tofautisha kati ya Katibu Mkuu Kiongozi KMK na Katibu Mkuu Ikulu

Diwani ni Katibu Mkuu Ikulu
 
Tofautisha kati ya Katibu Mkuu Kiongozi KMK na Katibu Mkuu Ikulu

Diwani ni Katibu Mkuu Ikulu
Kwa kizungu mmoja ni chief of staff na mwingine ‘cabinet secretary’ hapo Ikulu.

Sasa chief of staff na secretary, kwenye jengo moja nani mkubwa. Kwa akili ya kawaida tu. Hakuna mtu mkubwa Ikulu nyingi duniani kwa civil servants kumzidi chief of staff (sijasema na Tanzania ni ivyo ovyo).
 
Utapataje mabadiliko ya kitaasisi bila kufanya mabadiliko ya watu!?,in normal sense unaweza kuimbia taasisi badilika bila kudeal na staffs ambapo kimsingi inabidi uanze na shina kama hivyo ulivyofanyika kuanza na DG wengine watafuatia..Ubora wa taasisi unatokana na ubora wa kiutendaji hata CIA ilikuwa bora zaidi ya sasa kipindi cha Dulles kama FBI ilivyokuwa moto enzi za J.EDGAR HOOVER
Wakati Dulles anakuwa Director wa CIA, kaka yake John Dulles alikuwa amestaafu kwa ugonjwa kuwa Secretary of State wa Marekani. Ni incident iliyotokea kaka wawili wako na vyeo nyeti serikalini, the Dulles Brothers
 
Wote hao mzena na kitine ni enzi za zamani kabla usalama haujawa taasisi imara kama miaka hii. Kwa miaka ya karibuni tumeona wakipelekwa nje kwenye balozi.

Hapo ukiangalia vizuri huyu Diwani ataanza kuwa chini ya aliyekuwa msaidizi wake kwenye masuala ya usalama. Sio afya sana kwa taifa.
Aliyeharibu Mwendazake.
Kabla ya kupata uDG , lazima alikuwa handled na mtu ndani ya Taasisi.
Ikawaje?
 
Back
Top Bottom