Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #161
mimi ni mfuasi wa Chadema , si mfuasi wa MboweSema mkuu kuwa makini na ufuasi wa mbowe[emoji28][emoji23]unless labda kama unamtumia as a ladder
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi ni mfuasi wa Chadema , si mfuasi wa MboweSema mkuu kuwa makini na ufuasi wa mbowe[emoji28][emoji23]unless labda kama unamtumia as a ladder
Katibu Mkuu kiongozi Ikulu ndie Katibu wa Sekretariet ya Usalama wa TaifaSorry kwa uelewa zaidi;
Je Katibu mkuu Ikulu ha deal na PSU ambayo Usalama wamo ndani?
Nafahamu kuna taasisi zipo chini ya Ofisi ya Rais Ikulu, CEOs wao wanareport kwa katibu mkuu Ikulu, mfano TASAF, TAKUKURU nadhani na PSU wenyewe etc......
Ni majina tu katibu mkuu kiongozi nchi kama U.K. anakuwa referred simply as ‘head of civil services’ au ‘cabinet secretary’ kwenye media na bungeni anapotajwa.Chief Secretary ndo Katibu Mkuu Kiongozi
Anaifanya Rais akishirikiana na baraza la usalama wa taifaHii pangua ya watu wa ikulu na usalama wa taifa anaifanya Rais na nani
Inategemea ofisi ya Ikulu inavyofanya kazi mfano niliokuwa nautumia ni wa uingereza ‘chief of staff’ ni head number 10. Tanzania that is not the case KMK ndio anafanya kazi karibu na raisi pamoja na kuratibu shughuli zake.Be serious ndugu!
Yaani awe mkubwa kuliko Mkuu wa watumishi wote serikalini na yeye diwani wa Kata akiwa ni mtumishi wa umma????
Kwa kuongezea, hata kama tutabadili wakurugenzi wakuu mara hamsini kama hakuna utayari waiasa kuleta mabadiliko ndani ya TISS, basi hata huyu atakwama piaUtapataje mabadiliko ya kitaasisi bila kufanya mabadiliko ya watu!?,in normal sense unaweza kuimbia taasisi badilika bila kudeal na staffs ambapo kimsingi inabidi uanze na shina kama hivyo ulivyofanyika kuanza na DG wengine watafuatia..Ubora wa taasisi unatokana na ubora wa kiutendaji hata CIA ilikuwa bora zaidi ya sasa kipindi cha Dulles kama FBI ilivyokuwa moto enzi za J.EDGAR HOOVER
Muache aendelee kuota...akizinduka atajua maji ni maji, Sio mmaKatibu wa ikulu anakuwaje mkubwa kuliko katibu Mkuu kiongozi? Katibu kiongozi ndio mkuu wa utumishi serikalini na pia ndiye katibu wa baraza la mawaziri.
Wajumbe wa Baraza la Usalama wa Taifa ni akina nani ?Anaifanya Rais akishirikiana na baraza la usalama wa taifa
But mbowe is chademamimi ni mfuasi wa Chadema , si mfuasi wa Mbowe
naye ni mfuasi wa ChademaBut mbowe is chadema
Ni kwa Katibu Mkuu Utumishi na Utawala BoraSorry kwa uelewa zaidi;
Je Katibu mkuu Ikulu ha deal na PSU ambayo Usalama wamo ndani?
Nafahamu kuna taasisi zipo chini ya Ofisi ya Rais Ikulu, CEOs wao wanareport kwa katibu mkuu Ikulu, mfano TASAF, TAKUKURU nadhani na PSU wenyewe etc......
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 toleo la 2000 inampa Rais wa JMT mamlaka hayo. Further details za vetting and whatsoever zinafanywa na vyombo vilivyo chini yakeHii pangua ya watu wa ikulu na usalama wa taifa anaifanya Rais na nani
Hapana. He is chadema and chadema is himnaye ni mfuasi wa Chadema
unakataa..ngoja niishie hapaKikubwa bado analipwa, kama angekua anajiweza angekataa cheo hicho kipya
..Kwa TzvChief of Staff ni Katibu Myeka wa Raisi?
..Katibu Mkuu wa Ikulu ni tofauti na Katibu Myeka au Chief of Staff. Na ni nafasi kubwa zaidi ya hiyo.
..Ila sidhani kama Katibu Mkuu wa Ikulu ni cheo kikubwa kuliko Mkuu wa Usalama wa Taifa.
..Mkuu wa Usalama wa Taifa ni kati ya wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Ni idara kubwa inakaribiana na jeshi la Polisi.
Katibu Myeka ndio nasikia leo hilo neno Myeka ila sidhani ndio chief staff. Katibu wa Ikulu ndio mkuu wa shughuli za Ikulu that equates to ‘chief of staff’.
Katibu wa wizara ya mambo ya ndani on paper ni mkubwa kuliko mkuu wa idara ya usalama na katibu mkuu kiongozi ndio boss wao ambae yupo Ikulu.
Chief Staff ndio head ndani ya Ikulu wa watumishi wote kila anachoambiwa raisi na yeye anatakiwa kukijua na ndio mshsuri wake mkuu kwenye maamuzi na nchi nyingi anaingia vikao vya baraza la mawaziri kwa sababu kila anachoshauriwa raisi na yeye lazima akijue.
BothWala hakuna tatizo lolote jamani, nimeuliza tu maana kutoka kuwa Mkurugenzi wa TISS hadi kuwa Katibu Mkuu Ikulu, sijajua wapi ni juu?
Je, sasa amepandishwa cheo au ameshushwa?
Natanguliza shukrani.