Kuuliza si Ujinga; Maharage Chande anafanya biashara gani na TTCL? Kwanini Biashara hiyo inafichwa?

Kuuliza si Ujinga; Maharage Chande anafanya biashara gani na TTCL? Kwanini Biashara hiyo inafichwa?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Tunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake.

Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia, kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara.

Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu, na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue.
 
Tunauliza haya kwa uzuri tu , wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali , na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa umma hatuamini kama ni makosa kujua Taarifa zake .

Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia , kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara .

Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu , na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue .
Hiyo ni siri haitakiw kusemwa hadharan mkuu hivyo bas kikubwa sisi tuna utaratib wa kulindana kweny teuzi na madili pamoja na biashara zetu!! Ishi humo
 
Tunauliza haya kwa uzuri tu , wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali , na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa umma hatuamini kama ni makosa kujua Taarifa zake .

Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia , kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara .

Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu , na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue .
Mtumishi wa umma,ana biashara katika shirika la umma. Hii imekaaje? Anyway cjui biashara yake mkuu
 
Tunauliza haya kwa uzuri tu , wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali , na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa umma hatuamini kama ni makosa kujua Taarifa zake .

Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia , kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara .

Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu , na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue .
Na tangu lini watumishi wa umma wameruhusiwa kufanya biashara?

Pia kama TTCL na Posta zipo chini ya wizara moja, mbona CONFLICT of INTEREST Iko pale pale?
 
Screenshot_20230927-162303.jpg
 
Tunauliza haya kwa uzuri tu , wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali , na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa umma hatuamini kama ni makosa kujua Taarifa zake .

Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia , kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara .

Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu , na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue .
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.

Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.

Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.

Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.

Hivyo nakushauri dogo, deal mambo yako tuu yanayokuhusu, acha kufuatilia mambo ya watu na maisha ya watu!, wengine sio wema ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
 
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.


P
Japo aliyeleta haya ni Rais mwenyewe ( maana siye wengine hatukujua ) ila nakushukuru kwa hilo angalizo la kupotezwa
 
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.

Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.

Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.

Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.

Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
Umesema Kweli Mkuu Wa Mkoa Mtarajiwa
 
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.

Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.

Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.

Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.

Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

"....mengine ni mamafia utakuja kupotezwa bure....".

Komredi mjomba Pasco ina maana kuwa ni "jinai" kufanya INVESTIGATIVE JOURNALISM?!!

Kwani waandishi wa mambo hayo huweza kuyachunguza ya hao "mafia"....[emoji1787]

Jioni njema ankali[emoji120]
 
Japo aliyeleta haya ni Rais mwenyewe ( maana siye wengine hatukujua ) ila nakushukuru kwa hilo angalizo la kupotezwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kupotezwa tena loooh [emoji15][emoji15]

Tusihoji maslahi mtambuka ya nchi kwa kuogopa kupotezwa na "mafia" aliowasemea ankali Pascho ?!! [emoji1787][emoji1787]

Karibu Komoni hapa Sondombwa kwa mama Lily[emoji120]
 
Back
Top Bottom