dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Ndio hyo hyo amefanya huko ttcl na kwenda kujipatia tenda hyoAtakuwa amechukua tender ya customer care labda kama walivyofanya Tanesco na Makamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hyo hyo amefanya huko ttcl na kwenda kujipatia tenda hyoAtakuwa amechukua tender ya customer care labda kama walivyofanya Tanesco na Makamba.
Wanaosema hivyo ndio wao wabaguzi wenyewe.....Si wanasema Wwchaga ni wabaguzi , mimi Mnyakyusa nitakumbukwa kweli ?
Biashara haramu ndio hufichwa halali huwekwa wazi kama huyo bwana hisa wa TTCL ndugu mandondo.Tunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake.
Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia, kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara.
Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu, na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue.
Umeongea bonge la point[emoji120]Biashara haramu ndio hufichwa halali huwekwa wazi kama huyo bwana hisa wa TTCL ndugu mandondo.
Lete andiko!!Hakuna sheria inazuia mtumishi wa umma kufanya biashara. Inategemea biashara anafanya na nani na aina gani
Mambo ya kabila zenu yanatoka wapi tena?Si wanasema Wwchaga ni wabaguzi , mimi Mnyakyusa nitakumbukwa kweli ?
Huenda ni ya ufyatuaji laini za ttc;l ndio maana yuko pale kwa biashara binafsi kwa mpango maalum kuhakikisha TTCL inakufa na makampuni yanayoendeshwa na watu binafsi yashamiri.Tunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake.
Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia, kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara.
Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu, na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue.
Mh!!Atakuwa amechukua tender ya customer care labda kama walivyofanya Tanesco na Makamba.
Una hatari wewe!!!!Nikipata mtoto wa kiume nadhani naweza kumpa jina la "MAHARAGE" nimetokea kumuelewa sana jamaa anaonekana ni mtu smart sana
TTCL Customer Care waajiriwa ni wa TTCL. Hakuna Kampuni inayoendesha hiyo hudumaNdio hyo hyo amefanya huko ttcl na kwenda kujipatia tenda hyo
hivi watanzania wangapi wanafanya buashara na serikali,wewe umemuona maharage tu?unafhani biashara za watu zinatajwatajwa tu?Tunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake.
Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia, kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara.
Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu, na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue.
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.
Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.
Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.
Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.
Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
Wewe uliyeleta madai ndiyo uthibitisheLete andiko!!
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.
Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.
Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.
Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.
Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
Mimi au Maharage!Wewe uliyeleta madai ndiyo uthibitishe
Ndugu Paschal, tutajie mafia wawili tu unaowajua Ili tuwaogope!!Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.
Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.
Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.
Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.
Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
Not necessarily, kuna wengine wana good clean businesses lakini wanapenda kuwa low profile hivyo wanatumia pseudo names sio ili kujificha bali ili ku avoid unnecessary attention, mfano mzuri ni bilionea mmoja wa Geita, yule Mzee wa Blue Cost, anapanda bajaj!, gari yake ni Toyota Sienta ya yellow!, Mzee Mengi na Bakhresa, watasubiri!. Ndie mlipaji kodi Mkuu no. 1 Geita, ukiondoa migodi ya Anglo Gold Ashanti na GGM!.Majina kufichwa ya onwers wa biashara au aina ya biashara kufichwa ni ufisadi kama ufisadi mwingine, sababu wezi au mafisadi hawataki biashara zao au majina yao yajulikane kwa public, ukiona kuna giza giza kwenye maswala ya biashara au majina ya owners wa biashara ni wizi unaendelea
Mkimjua mtu ni mafia ukamtaja ni mafia, ni kuingilia his right to privacy, ni kosa kisheria!. Mmoja ni huyu Uso kwa Uso na Mtikila- Akataa Hongo ya Millioni 100!Ndugu Paschal, tutajie mafia wawili tu unaowajua Ili tuwaogope!!