Hakuna ubaya kwa mtumishi wa Umma kufanya biashara na serikali, alimradi biashara hiyo haiingiliani na utendaji kazi wa mtumishi huyo.Mtumishi wa umma,ana biashara katika shirika la umma. Hii imekaaje? Anyway cjui biashara yake mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna ubaya kwa mtumishi wa Umma kufanya biashara na serikali, alimradi biashara hiyo haiingiliani na utendaji kazi wa mtumishi huyo.Mtumishi wa umma,ana biashara katika shirika la umma. Hii imekaaje? Anyway cjui biashara yake mkuu
Wewe uliyeleta madai hapaMimi au Maharage!
Unapanda gari kwa mbele...haya kaa vizuri nikugonge....[emoji1787]Mambo ya kabila zenu yanatoka wapi tena?
Paschal wa CCM ni fake, original ni yule Mwandishi.Mkimjua mtu ni mafia ukamtaja ni mafia, ni kuingilia his right to privacy, ni kosa kisheria!. Mmoja ni huyu Uso kwa Uso na Mtikila- Akataa Hongo ya Millioni 100!
P
[emoji15][emoji15][emoji15]Na tangu lini watumishi wa umma wameruhusiwa kufanya biashara?
Pia kama TTCL na Posta zipo chini ya wizara moja, mbona CONFLICT of INTEREST Iko pale pale?
Itakua poa kabisaWakitaka tudukue hiyo biashara tutafanya hivyo bila kuchelewa , Tumewapa nafasi waseme wenyewe
Kama mnunuzi wa dege setilite city kafichwa biashara ya wazi kama hiyo usitegemee tuambiwe ya maharagwe ya ukweniTunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake.
Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia, kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara.
Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu, na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue.
Mbona Tanesco hujaitaja?Anamiliki kampuni ya customer care inayotoa huduma ttcl na tigo
Not necessarily, kuna wengine wana good clean businesses lakini wanapenda kuwa low profile hivyo wanatumia pseudo names sio ili kujificha bali ili ku avoid unnecessary attention, mfano mzuri ni bilionea mmoja wa Geita, yule Mzee wa Blue Cost, anapanda bajaj!, gari yake ni Toyota Sienta ya yellow!, Mzee Mengi na Bakhresa, watasubiri!. Ndie mlipaji kodi Mkuu no. 1 Geita, ukiondoa migodi ya Anglo Gold Ashanti na GGM!.
Hana makuu!.
P
Hahahaha,urefu wa kamba yakoMORAL OF THE STORY , UKIPATA WASAAA WA UPENYO KULAA WEEEE KULAAAA. NASEMA KULAAAAA ASEEEEEEEE KULAAAAA A.K.A PIGA KIMYA AFU PITA HIVI.............
Wewe unafanya biashara gani? Au biashara yako ni hii michango yenu ya kihuni huko CHADEMA? Ulipata Tsh ngapi kwenye michango ya Join The Chain?Tunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake.
Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia, kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara.
Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu, na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue.
Politics of intimidation, lies and juxtaposition have come of age.Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.
Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.
Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.
Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.
Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.
Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.
Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.
Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.
Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.
Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.
Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.
Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.
Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
Una pesa alafu unatembelea sienta ,,,,,naanza kupata mashaka huenda ni pesa za majiniNot necessarily, kuna wengine wana good clean businesses lakini wanapenda kuwa low profile hivyo wanatumia pseudo names sio ili kujificha bali ili ku avoid unnecessary attention, mfano mzuri ni bilionea mmoja wa Geita, yule Mzee wa Blue Cost, anapanda bajaj!, gari yake ni Toyota Sienta ya yellow!, Mzee Mengi na Bakhresa, watasubiri!. Ndie mlipaji kodi Mkuu no. 1 Geita, ukiondoa migodi ya Anglo Gold Ashanti na GGM!.
Hana makuu!.
P
Watumishi aina ya Chande wako wengi wakifunuliwa siyo Maharage tu.Mtumishi wa umma,ana biashara katika shirika la umma. Hii imekaaje? Anyway cjui biashara yake mkuu
Ni Mzabuni.Tunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake.
Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia, kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara.
Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu, na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue.