Kuuliza si Ujinga; Maharage Chande anafanya biashara gani na TTCL? Kwanini Biashara hiyo inafichwa?

Kuuliza si Ujinga; Maharage Chande anafanya biashara gani na TTCL? Kwanini Biashara hiyo inafichwa?

Tunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake.

Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia, kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara.

Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu, na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue.
Kama mnunuzi wa dege setilite city kafichwa biashara ya wazi kama hiyo usitegemee tuambiwe ya maharagwe ya ukweni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Not necessarily, kuna wengine wana good clean businesses lakini wanapenda kuwa low profile hivyo wanatumia pseudo names sio ili kujificha bali ili ku avoid unnecessary attention, mfano mzuri ni bilionea mmoja wa Geita, yule Mzee wa Blue Cost, anapanda bajaj!, gari yake ni Toyota Sienta ya yellow!, Mzee Mengi na Bakhresa, watasubiri!. Ndie mlipaji kodi Mkuu no. 1 Geita, ukiondoa migodi ya Anglo Gold Ashanti na GGM!.
Hana makuu!.
P


I agree, ila wanaoficha biashara zao na majina yao 8 out of 10 ni mafisadi, only few are clean business men
 
Tunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake.

Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia, kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara.

Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu, na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue.
Wewe unafanya biashara gani? Au biashara yako ni hii michango yenu ya kihuni huko CHADEMA? Ulipata Tsh ngapi kwenye michango ya Join The Chain?
 
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.

Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.

Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.

Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.

Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
Politics of intimidation, lies and juxtaposition have come of age.

Advocating embezzlement in the shadow of privacy is a tired , old and boring story .

We can not change the debate on CORRUPTION , THEFT , LAPPING ,& SIPHONING of public money to suit one's interest .
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.

Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.

Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.

Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.

Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
 
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.

Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.

Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.

Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.

Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P

Je ni sawa mtumishi wa umma kuwa na biashara ndani ya shirika la umma?
 
Not necessarily, kuna wengine wana good clean businesses lakini wanapenda kuwa low profile hivyo wanatumia pseudo names sio ili kujificha bali ili ku avoid unnecessary attention, mfano mzuri ni bilionea mmoja wa Geita, yule Mzee wa Blue Cost, anapanda bajaj!, gari yake ni Toyota Sienta ya yellow!, Mzee Mengi na Bakhresa, watasubiri!. Ndie mlipaji kodi Mkuu no. 1 Geita, ukiondoa migodi ya Anglo Gold Ashanti na GGM!.
Hana makuu!.
P
Una pesa alafu unatembelea sienta ,,,,,naanza kupata mashaka huenda ni pesa za majini


Dunia ina mambo
 
Tunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake.

Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia, kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara.

Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu, na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue.
Ni Mzabuni.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom