Kuuliza si Ujinga; Maharage Chande anafanya biashara gani na TTCL? Kwanini Biashara hiyo inafichwa?

Kuuliza si Ujinga; Maharage Chande anafanya biashara gani na TTCL? Kwanini Biashara hiyo inafichwa?

Nikipata mtoto wa kiume nadhani naweza kumpa jina la "MAHARAGE" nimetokea kumuelewa sana jamaa anaonekana ni mtu smart sana

Kuna Maharage mwingine aliokoka kuliwa na papa alipotupwa baharini na mabaharia wa kigiriki baada ya kuzamia meli miaka ya nyuma kidogo( Deo Maharage).

Baada ya hapo akawa anajulikana kama “Mr Survivor”.

Anyway, what’s in a name?

Huyo dogo akiwa Mr Survivor itakuwa heri pia.
 
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.

Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.

Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.

Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.

Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
Mkuu! Angalizo lako ni zuri na lenye wema kwenye nia. Ila sidhani kama 'silent partner' is meant not to be known.
Silent partner huwa ana majukumu fulani limited lakini si kutojulikana
 
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.

Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.

Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.

Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.

Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
Data za BRELA ziko wazi kwa umma?
 
Mkuu! Angalizo lako ni zuri na lenye wema kwenye nia. Ila sidhani kama 'silent partner' is meant not to be known.
Silent partner huwa ana majukumu fulani limited lakini si kutojulikana
Be it for whatever reason silent partners hapaswi kujulikana!, ila kwa viongozi wenye kada ya viapo vya maadili, lazima a declare kwenye tamko la mali.
P
 
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.

Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.

Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.

Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.

Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
Paschal , don't sell us fear, men. Kama Kuna mtu anaweza kufuatilia afuatiliye tu. Kupotezwa ni kawaida kwa sababu we will all die. Hata hivyo , kufia ukweli ni the highest good of individuality.

Au nasema uongo ndugu mayala?
 
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.

Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.

Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.

Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.

Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
Bro acha kujipendekeza na vitisho vya kishamba. Umafia autoe wapi, sema ana vijipesa vya wizi anavyoweza kuhonga ili alipe majobless wa kumdhuru.
 
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.

Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.

Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.

Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.

Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
Mambo mengine yote umetupasha vema. Lakini kama sheria Iko hivo, kwanini utoe angalizo la 'kupotezwa' tunapotaka kujua jambo kama hili? Yaonyesha Kuna udanganyifu mwingi katika biashara zifanyikazo ndani ya mashirika yetu ya umma kupitia watumishi wetu wa umma!
Kama hawataki kujulikana biashara zao, basi waendeshe biashara zao nje ya mashirika yetu. Hapo ndo tunakuja kuona umuhimu wa miiko ya viongozi enzi za Arusha Declaration! Nyerere alale pema peponi, maana Sasa karibu Viongozi wetu wote ni wafanya biashara, tena mirija mikubwa wameelekeza kwenye Taasisi za umma!
Ingekuwa Siri kiasi hicho nadhani Mkuu wa nchi asingeweza kusema hadharani jambo hili. Kwahiyo Mimi naunga mkono kwamba umma unayo haki ya kujua biashara za Maharage Chande ndani ya TTCL.
 
Not necessarily, kuna wengine wana good clean businesses lakini wanapenda kuwa low profile hivyo wanatumia pseudo names sio ili kujificha bali ili ku avoid unnecessary attention, mfano mzuri ni bilionea mmoja wa Geita, yule Mzee wa Blue Cost, anapanda bajaj!, gari yake ni Toyota Sienta ya yellow!, Mzee Mengi na Bakhresa, watasubiri!. Ndie mlipaji kodi Mkuu no. 1 Geita, ukiondoa migodi ya Anglo Gold Ashanti na GGM!.
Hana makuu!.
P
Sasa mbona huyu anajulikana? Ila mwiko uko Kwa Maharage tu?
 
Biashara yake umeshaandikiwa humu kwenye comment japo hawaja kuweka wazi Ila Kuna mdau kaizungumzia tayari ili kuijua ni ipi aidha

1.uchambue comment kwa umakini

Au
2.usubiri siku ikijulika uje urudi kwenye huu uzi
 
Tunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake.

Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia, kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara.

Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu, na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue.
Ina maana mama Samia huwa anateua bila kufanya vetting? Kabla hajamteua ndugu maharage alitakiwa awe na hizi taarifa zote,sasa tengua teua hii inaonyesha wasaidizi wa Rais hawapo makini
 
Hiyo ni siri haitakiw kusemwa hadharan mkuu hivyo bas kikubwa sisi tuna utaratib wa kulindana kweny teuzi na madili pamoja na biashara zetu!! Ishi humo
Mwalimu Nyerere na Ujamaa ilikuwa mtu anaambiwa chagua kitu kimoja kama unataka biashara tuachie kazi yetu !!
Kwa sasa tunapuyanga tu hakuna miiko wala vijiko 🙏🙏 !!
 
Back
Top Bottom