Kuuliza si Ujinga; Maharage Chande anafanya biashara gani na TTCL? Kwanini Biashara hiyo inafichwa?

Kuuliza si Ujinga; Maharage Chande anafanya biashara gani na TTCL? Kwanini Biashara hiyo inafichwa?

Kwa viongozi wa umma ni tofauti, usikariri tu.
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.

Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.

Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.

Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.

Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
 
Watu wengine sijui mnawazaga kwa kutumia nini?!!
Kwa nini mleta mada hajataka kujua chochote kukuhusu wewe Bwana Manjaa?!
Ukishakuwa mtumishi wa umma, lazima ukubali maisha yako kuwa wazi kwa Umma pia.
Kama ukiona unataka privacy sana, basi kakae nyumbani na mkeo/mmeo halafu uone kama kuna mtu atakuja kukufuatilia
Sahihi
 
Kwa viongozi wa umma ni tofauti, usikariri tu.
Yes ni kweli kwa viongozi wa umma, sehemu ya their right to privacy is compromised by the public in such a way, anyone paid by taxpayers money, the public has the right over their public as well as private affairs. Hii ni wenzetu walioendelea sisi huku bado!.

Ndio maana tamko la mali za viongozi ni siri!.
P
 
Paschal , don't sell us fear, men. Kama Kuna mtu anaweza kufuatilia afuatiliye tu. Kupotezwa ni kawaida kwa sababu we will all die. Hata hivyo , kufia ukweli ni the highest good of individuality.

Au nasema uongo ndugu mayala?
Mkuu El Roi , it's true mtu kufia kwenye kutafuta ukweli ni the highest honor ila it depends ukweli huo ni ukweli for what, ukweli mtu anaotakiwa kuufia ni ukweli wenye maslahi kwa taifa, kama alivyofanya Ben Saanane na sio ukweli wa kufuatilia maisha binafsi ya watu na mali zao legally acquired!.
P
 
Ndio maana hizi taasisi zinataka zisiingiliwe kwenye utendaji ili kuficha madudu kama haya. Kama wameweza kumpa tender watashindwa nini kuajiri watoto wa vigogo wenzao
 
Mkuu El Roi , it's true mtu kufia kwenye kutafuta ukweli ni the highest honor ila it depends ukweli huo ni ukweli for what, ukweli mtu anaotakiwa kuufia ni ukweli wenye maslahi kwa taifa, kama alivyofanya Ben Saanane na sio ukweli wa kufuatilia maisha binafsi ya watu na mali zao legally acquired!.
P
Paschal , Issue ya kujua biashara za chande ndani ya shirika letu la umma ndo hoja iliyoleta yote haya.

Hivyo, kutaka kujua chande anafanya biashara gani na shirika letu la umma, tayari hiyo ni national interest.

Anafanyeje biashara na shirika la umma ilihali yeye ni mtumishi wa umma??

Kwani huoni nafasi yake ya utumishi wa umma ikigongana dhahiri na maslahi yetu kama umma kwa yeye kufanya biashara na shirika letu?
 
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.

Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.

Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.

Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.

Hivyo nakushauri dogo, deal mambo yako tuu yanayokuhusu, acha kufuatilia mambo ya watu na maisha ya watu!, wengine sio wema ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P

Safi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

"....mengine ni mamafia utakuja kupotezwa bure....".

Komredi mjomba Pasco ina maana kuwa ni "jinai" kufanya INVESTIGATIVE JOURNALISM?!!

Kwani waandishi wa mambo hayo huweza kuyachunguza ya hao "mafia"....[emoji1787]

Jioni njema ankali[emoji120]
Msome Jill Dando alikuwa journalist ila kiherehere chake kilimponza alipigwa risasi akiwa kasimama kwake na mpaka leo miaka 24 hajapatikana aliempiga risasi

Mengine ni kuyaacha tu
 
Msome Jill Dando alikuwa journalist ila kiherehere chake kilimponza alipigwa risasi akiwa kasimama kwake na mpaka leo miaka 24 hajapatikana aliempiga risasi

Mengine ni kuyaacha tu
All of us are going to die only once !
And when we’re done we will not be in need of money 💰 anymore forever 😅😅🙏🙏💰💰😂
 
Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.

Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.

Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.

Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.

Hivyo nakushauri dogo, deal mambo yako tuu yanayokuhusu, acha kufuatilia mambo ya watu na maisha ya watu!, wengine sio wema ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
The Right to Privacy nayo ni Sheria?
 
Back
Top Bottom