Kuuliza si Ujinga; Maharage Chande anafanya biashara gani na TTCL? Kwanini Biashara hiyo inafichwa?

Kuuliza si Ujinga; Maharage Chande anafanya biashara gani na TTCL? Kwanini Biashara hiyo inafichwa?

Kila mtu anayo kinga ya kisheria ya faragha zake, ikiwemo biashara zake, Afya yake, maisha yake, familia yake, shughuli zake, mshahara wake, mapato yake, account number zake, vinalindwa na sheria mbili
1. The right to privacy
2. Data protection act.

Mtu usiye husika, huruhusiwi kufuatilia mambo binafsi ya maisha ya mtu anaishije, anafanya nini, ana biashara gani, ni none of your business!.

Ila wewe kama raia mwema ukimuona mtu anaendesha maisha yake kwa namna ya kuleta mashaka kuhusu utajiri wa mtu, unayo haki ya kufanya search Brela kuhusu kampuni yoyote, imesajiliwa vipi, inamilikiwa na nani, wakurugenzi ni kina nani, haki hii pia iko kwenye ardhi, nyumba au gari lolote.

Kuna makampuni mengine wamiliki wake wanaitwa silent partners, mfano Pap ile ya Singasinga iliyoinunua IPTL inamilikiwa 50% na Singa Singa 50% na Simba, huyu Simba ni silent partner hata uki search Brela hukuti majina, majina ya wamiliki yamehifadhiwa chini ya kinga iitwayo "the corporate veil" ukitaka kuwajua kwanza lazima uwe na sababu genuine, pili lazima uombe kibali mahakamani to unveil hiyo corporate veil.

Hivyo nakushauri dogo, deal na mambo tuu yanayokuhusu, acha kufuatia maisha ya watu!, wengine ni ma mafia!, utakuja kupotezwa bure!.
P
Watu wengine sijui mnawazaga kwa kutumia nini?!!
Kwa nini mleta mada hajataka kujua chochote kukuhusu wewe Bwana Manjaa?!
Ukishakuwa mtumishi wa umma, lazima ukubali maisha yako kuwa wazi kwa Umma pia.
Kama ukiona unataka privacy sana, basi kakae nyumbani na mkeo/mmeo halafu uone kama kuna mtu atakuja kukufuatilia
 
hivi watanzania wangapi wanafanya buashara na serikali,wewe umemuona maharage tu?unafhani biashara za watu zinatajwatajwa tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Maharage ni Mkurugenzi (Chief Executive) wa shirika..
Ana uwezo wa kuinfluence biashara zake kupitia kwa Mkurugenzi mwenzake.
Huwezi kumweka kwenye kundi moja na Watanzania wa kawaida, wengine ambao hawajaajiriwa hata serikalini.
 
Tunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake.

Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia, kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara.

Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu, na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue.
Watu wanaingia kwenye politics to protect their business and not to help poor people!!
 
Tunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake.

Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia, kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara.

Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu, na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue.
Ukifuatilia mambo ya ccm unapata kichaa
 
Tunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake.

Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia, kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara.

Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu, na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue.
Anza wewe kutaja biashara yako ndo uulize ya maharage
 
Ufisadi hautaisha Tanzania. Wananchi wenyewe wanatetea mafisadi. Mtu ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Umma anateuliwa kusimamia hiyo Taasisi anavyofanya nayo biashara. Halafu Kuna Wana CCM wanatetea kisa tu kuitetea serikali. Tuna safari ndefu.
 
Tunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake.

Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia, kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara.

Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu, na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue.
Softnet ni kampuni ambayo ana maslahi nayo. Amemuachia rafiki yake wa siku nyingi, toka wanasoma aiendeshe. Yeye anapiga mapande. Ina JV na HUawei ya kufanya kazi za mkonga wa Taifa
 
Rgojin the idiot amefumbua swali lako Kuhusu biashara anayofanya ndugu ma beans ikiwa kama ni parner katika kampuni ya softnet na Huawei ameshinda contract ya kutandaza fiber ya ttcl akiungana na softnet katika mfumo wa Joint venture. Ili kujua kwa urahsi wewe google awarded contracts za ttcl halafu ingia deep zaidi utachambua kampuni gani zimepata tenda ttcl.
Note: Board member wa tanesco na maharage mwenyewe wote wamepitia DCB bank kama directors was that a coincidence.
 
Mtumishi wa umma,ana biashara katika shirika la umma. Hii imekaaje? Anyway cjui biashara yake mkuu
Labda katiba yetu imebadilika. Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa Kiongozi hatakiwi kumiliki biashara kwenye taasisi za Umma. Au hiyo ilikuwa ya TANU na CCM ya Chama kimoja?
 
Hiyo ndo ccm bwana.mnashangaa leo wakati haya yako enzi na enzi.wa kijana watatutesa sana kama hatujiongezi
 
Tunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake.

Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia, kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara.

Bali kikubwa ni biashara hiyo iwe ya halali tu, na kwa kweli ni vema ikawekwa wazi ili wadau wote waijue.


Kama ni biashara halali haituhusu.
 
Wewe unafanya biashara gani? Au biashara yako ni hii michango yenu ya kihuni huko CHADEMA? Ulipata Tsh ngapi kwenye michango ya Join The Chain?
Join the Chain michango yake iko kwenye tovuti ya Chadema , ingia uone .

Mimi siyo msemaji wao
 
Back
Top Bottom