Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
wakuu ni aje
Leo naomba kuuliza, kwanini mtu akifariki utaona watu wanaandika RIP au pumzika kwa Amani ndugu fulani au Mr fulani au Mrs fulani.
Hivi huwa wanamwambia Nani?! Marehemu au huwa wanamaanisha nini? Au ni tamaduni tu kama vile kunywa chai asubuhi japo hata usippkunywa haufi!
Wajuzi wa mambo karibuni.
Kwa hiyo hautumii akili yako kabisa mkuu?hapana mkuu. mimi ni muumini wa inachosema biblia
Jaribu ufe leo. Tutakupumzisha kwa amani kama waliotangualia!wakuu ni aje
Leo naomba kuuliza, kwanini mtu akifariki utaona watu wanaandika RIP au pumzika kwa Amani ndugu fulani au Mr fulani au Mrs fulani.
Hivi huwa wanamwambia Nani?! Marehemu au huwa wanamaanisha nini? Au ni tamaduni tu kama vile kunywa chai asubuhi japo hata usippkunywa haufi!
Wajuzi wa mambo karibuni.
Miaka 50 unazurura duniani mkuu halafu Tanganyika.Mkuu kabla ya kuzaliwa si ulipumzika mabilioni ya miaka sasa unataka upumzike nini tena na maisha ni miaka 50 tu ukiwa na nguvu ni 60!!
🤣🤣🤣kwani mkuu Mbona kuna vitu vinandelewa kugunduliwa?Hakuna kitu nje ya space, time na universe kwa ujumla.
Ukifariki ndio utakuja kujua maana yake..wakuu ni aje
Leo naomba kuuliza, kwanini mtu akifariki utaona watu wanaandika RIP au pumzika kwa Amani ndugu fulani au Mr fulani au Mrs fulani.
Hivi huwa wanamwambia Nani?! Marehemu au huwa wanamaanisha nini? Au ni tamaduni tu kama vile kunywa chai asubuhi japo hata usippkunywa haufi!
Wajuzi wa mambo karibuni.
acha siasa mkuuMarehemu ni mtu aliyekufa mwili but roho yake inaishi - ipo. Mwili wako unaweza uka-shut down (ukafa) na roho yako isipate pumziko - May his/her soul rest in peace - ni kuitakia matashi mema tu...
Ni sawasawa na kumwambia mtu - safari njema, ufike salama, ulale salama, kazi njema n.k Hizi ni good wishes tu
Ina maana makafir wao wamemuiga nani?R.I.P Wameiga kwa makafiri wa kimagharibi, na haina maana yoyote, wao wanafikiri marehemu anaenda kupumzika!
Kifo kipo ndani ya universe, time and space.Hata sayansi kwenye masuala ya mungu ipo neutral haisimami upande wowote sababu kila siku tafiti zinaendelea.
Mimi mekuuliza swali jepesi ukaleta stori zingine. Kwanini ni rahisi kusema hakuna kitu lakini si rahisi kusema kwamba hatujui? TutajuJe maendeleo ya sayansi miaka 200 inayokuja itakuwa na majibu kiasi chake au kuna vitu vitakuwa vimevumbuliwa?😂😂
Kwanini ni lazima kwamba baadda yakifo hakuna kitu na si kwamba hatujui sababu sayansi inaweza kuvumbua kitu fulani miaka 500 baadae kuhusu kifo?
Kwanini unahitimisha hakuna kitu?
kivip mkuu Elezea?
utaelewaje biblia bila kutumia akiliKwa hiyo hautumii akili yako kabisa mkuu?
Halafu mkuu wewe ni Dr kabisa au ni kama ule wa Mama samia?Ukifariki ndio utakuja kujua maana yake..
Nakuelewa sana mkuu sema wewe ndio hautaki kunielewa mimi , kwanza nikuelezee tu situmii,fake id kwa kuhofu chochote, ilitokea tu kutumia ila sasa naona ni vizuri nitumie tu ili tuweze kujadiliana na kila mtu , na kukuhakikishia kwa jinsi wa tz walivyo wanafki kuna watu wangetumia I'd zao za ukweli kuna wimbi kubwa humu lingegeuka machawa badala ya wachangiaji.labda sababu upo na fake ID huenda nakufahamu . Kama unayo ikawa tested na verified lazima watu was mini na tuanze kutumia.
Hao wote walifanya chunguzi baadae watu wakaja kuziboresha zaidi. Na wapo waliokuja na theories nyingi zikawa criticised na watu wakaja kuzifanyia tafiti Ilya na zikazaa matunda.
Ndio maana nikakuuliza Kwanini unasema sayansi ilishatoa majibu wakati sayansi ya mwaka 1800 si hii ya mwaka 2023. Sababu ya kukua kwa teknolojia Kwanini unahitimisha kwamba hakuna kitu? Kwanini usiseme hatujui sababu maendeleo ya sayansi yanavyokua May be somedays in future miaka 500 kutakuwa na majibu?
Sijui kama unaelewa lakini🤣🤣
Vina gunduliwa kwenye universe na ndani ya dunia ambayo ipo sio nje ya hapo.🤣🤣🤣kwani mkuu Mbona kuna vitu vinandelewa kugunduliwa?
Baada ya kifo, Kitu kipo.Mimi swali langu Kwann unahitimisha kwamba hakuna kitu? Katika ulimwengu huu na teknolojia inayokuwa kila siku kwa kasi tusiseme siku moja sayansi itatuletea majibu kuhusu kifo au baada ya kifo? Kwanini unalazimisha hakuna?
Wakati tunaona vitu vinakuwa modified na fumbuzi nyingi zinaendelea kuvumbuliwa na majibu kupatikana
Ili uelewe mambo ya kiimani inabdi uweke akili njema pembeni utumie akili ya kizuzu , mfano , nuhu aliingiza wanyama wawili wawili aina zote kwenye kisafina maji yakajaa dunia nzima , hii unaweza kuielewa bila kuwa na akili ya kipopoma?utaelewaje biblia bila kutumia akili
Hakuna kitu ni nini mkuu?Baada ya kifo wapi?
Kifo ndio mwisho wa uwepo wa kitu hapa duniani.
Sasa kama unadhani kuna kitu kipo baada ya kifo, inabidi ueleze kinakuwepo sehemu gani tofauti na hii Universe ambayo ipo.
Hakuna kitu nje ya space, time na universe kwa ujumla.
Kila kitu hata kifo kipo ndani ya universe, time and space.
Nje ya hapo hakuna kitu.
unaposema kisafina una maana gani?Ili uelewe mambo ya kiimani inabdi uweke akili njema pembeni utumie akili ya kizuzu , mfano , nuhu aliingiza wanyama wawili wawili aina zote kwenye kisafina maji yakajaa dunia nzima , hii unaweza kuielewa bila kuwa na akili ya kipopoma?
mkuu kuna sehemu imeandikwa nuhu aliingiza wanyama safinaniIli uelewe mambo ya kiimani inabdi uweke akili njema pembeni utumie akili ya kizuzu , mfano , nuhu aliingiza wanyama wawili wawili aina zote kwenye kisafina maji yakajaa dunia nzima , hii unaweza kuielewa bila kuwa na akili ya kipopoma?
Nicotine hiyo, sumu ya chai hiyo ishatufanya mateja wa chai mkuu 😂Wewe ni kama mimi kabisa.