Kuuliza Sio Ujinga; Nimepokea Sms hii Je kuna anaye fahamu kuhusu Hili?

Kuuliza Sio Ujinga; Nimepokea Sms hii Je kuna anaye fahamu kuhusu Hili?

Du! Na Namba Ninayo Tumia Ni muhimu sana Huko WhatsApp
Nilipata Hisia Hizo
Watakuletea zeshen utashangaa, hakuna hela raisi hivyo. Hiyo kwenye cyber security tunaona phishing attack, wanakutrick utashangaa password zako wanazo unatupigia simu tukiwa tunapambana kuirudisha na sisi tunakupiga hela hatufanyi kazi bure sasa either way utapigwa hela bora uwablock tu ndugu yangu
 
Jichanganye kwa wanaija hao
Na wamekuwa Wakiniandama Sana hawa watu
Screenshot_20250221-202209.jpg
 
View attachment 3244136Nimepokea sms ambayo Imenichanganya sana
Sio nimechanganywa labda na tamaa Au Kishawishi kilichopo hapo kwenye Sms hapana
Kilicho Nichanganya ni Mtumaji .
Huyu mtumaji Nimejaribu Kwenda Hata Google Sioni Majibu Yanayo Eleweka kabisaView attachment 3244128View attachment 3244130


Mimi muoga sana Kufunga Kitu kinaitwa Link
Kutoka Sehemu isiyo Eleweka
Hawa LLNEWS Nikina nani na wanahusika na nini?
Hata mimi wamenitumia haohao LL NEWS kama kawaida yangu nikiona kitu sikielewi naiuliza chat gpt walichonijibu;
 

Attachments

  • Screenshot_20250221_211731_ChatGPT.jpg
    Screenshot_20250221_211731_ChatGPT.jpg
    158.6 KB · Views: 1
Delete hio sms haraka,maana waweza ukajisahau uko zako nyumbani mtoto wako au mtu wa karibu akashika simu hiyo aka click bila ww kujua.!
 
Mbona iko wazi huyo ni tapeli anataka kuhack account yako ya whatsapp.

Link halali za whatsapp haziko hivyo.
 
Back
Top Bottom