AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,367
- 1,293
Ni maataaapeliView attachment 3244136Nimepokea sms ambayo Imenichanganya sana
Sio nimechanganywa labda na tamaa Au Kishawishi kilichopo hapo kwenye Sms hapana
Kilicho Nichanganya ni Mtumaji .
Huyu mtumaji Nimejaribu Kwenda Hata Google Sioni Majibu Yanayo Eleweka kabisaView attachment 3244128View attachment 3244130
Mimi muoga sana Kufunga Kitu kinaitwa Link
Kutoka Sehemu isiyo Eleweka
Hawa LLNEWS Nikina nani na wanahusika na nini?
Hapo ukishaelekezwa kibra vizuri utapigwa kama ngomaNimepokea Sms hii Je kuna anaye fahamu kuhusu Hili?
Kuwa makini,watu wamevulugwa!View attachment 3244136Nimepokea sms ambayo Imenichanganya sana
Sio nimechanganywa labda na tamaa Au Kishawishi kilichopo hapo kwenye Sms hapana
Kilicho Nichanganya ni Mtumaji .
Huyu mtumaji Nimejaribu Kwenda Hata Google Sioni Majibu Yanayo Eleweka kabisaView attachment 3244128View attachment 3244130
Mimi muoga sana Kufunga Kitu kinaitwa Link
Kutoka Sehemu isiyo Eleweka
Hawa LLNEWS Nikina nani na wanahusika na nini?
Watakuletea zeshen utashangaa, hakuna hela raisi hivyo. Hiyo kwenye cyber security tunaona phishing attack, wanakutrick utashangaa password zako wanazo unatupigia simu tukiwa tunapambana kuirudisha na sisi tunakupiga hela hatufanyi kazi bure sasa either way utapigwa hela bora uwablock tu ndugu yanguDu! Na Namba Ninayo Tumia Ni muhimu sana Huko WhatsApp
Nilipata Hisia Hizo
Jichanganye kwa wanaija haoView attachment 3244136Nimepokea sms ambayo Imenichanganya sana
Sio nimechanganywa labda na tamaa Au Kishawishi kilichopo hapo kwenye Sms hapana
Kilicho Nichanganya ni Mtumaji .
Huyu mtumaji Nimejaribu Kwenda Hata Google Sioni Majibu Yanayo Eleweka kabisaView attachment 3244128View attachment 3244130
Mimi muoga sana Kufunga Kitu kinaitwa Link
Kutoka Sehemu isiyo Eleweka
Hawa LLNEWS Nikina nani na wanahusika na nini?
Jambo la msingi acha nao there's no easy money. Hatutaki uje humu unaliaUnaonaje Nikutumie Hiyo Link Upate ww hiyo Kazi😀😀
DuNa wamekuwa Wakiniandama Sana hawa watuView attachment 3244551
Hata mimi wamenitumia haohao LL NEWS kama kawaida yangu nikiona kitu sikielewi naiuliza chat gpt walichonijibu;View attachment 3244136Nimepokea sms ambayo Imenichanganya sana
Sio nimechanganywa labda na tamaa Au Kishawishi kilichopo hapo kwenye Sms hapana
Kilicho Nichanganya ni Mtumaji .
Huyu mtumaji Nimejaribu Kwenda Hata Google Sioni Majibu Yanayo Eleweka kabisaView attachment 3244128View attachment 3244130
Mimi muoga sana Kufunga Kitu kinaitwa Link
Kutoka Sehemu isiyo Eleweka
Hawa LLNEWS Nikina nani na wanahusika na nini?
Zingatia ma whatsapp watakupiga ban ishanikuta sana hii mpaka ikabidi nibadirishe simuDu! Na Namba Ninayo Tumia Ni muhimu sana Huko WhatsApp
Nilipata Hisia Hizo
For sureDelete hio sms haraka,maana waweza ukajisahau uko zako nyumbani mtoto wako au mtu wa karibu akashika simu hiyo aka click bila ww kujua.!
Mshahara 700,000 kwa siku!!!Dunia ya leo uajiriwe tuu kizembe zembe hivyo yaaani
Nikupe hiyo link ubonyeze!!!Hongera kwa kupata kazi, waalimu wanazurura mitaani kutafuta ajira hawapati halafu wewe unchezea?
Mola akupe nini.
Hee kumbe kwa siku sikuona vzr....Mshahara 700,000 kwa siku!!!