Kuuliza Sio Ujinga; Nimepokea Sms hii Je kuna anaye fahamu kuhusu Hili?

Utakamulliwa upepo mkuu achana na matapeli
 
Wakulipe kwa siku laki 7. Nimepiga hesabu kwa mwezi utakuwaunalipwa siyo chini ya milioni ishirini sasa unaachaje kazi la hiyo ambayo hata mbunge wako Hana huomshahara.
 
Wakulipe kwa siku laki 7. Nimepiga hesabu kwa mwezi utakuwaunalipwa siyo chini ya milioni ishirini sasa unaachaje kazi la hiyo ambayo hata mbunge wako Hana huomshahara.
Eti Kijingajinga tu
 
acha uoga fungua upambane na wanaume wenzako!..😅
 
Scammers hutumia viungo vya WhatsApp badala ya tovuti rasmi ili kukwepa kugundulika na mamlaka,shtuka mapema sistery😅
 
Utakapoanza kazi naomba uniunganishe na mimi, nintanguliza 50elfu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…