Kuvaa Hijab ni dini au udhaifu wa wanaume?

Ata ukijafanye huoni ila andiko lipo wazi nimeweka
Kinachotakiwa mjibu ilikuwaje Allah akachukua wazo la hijab kutoka kwa Umar akaliweka kwenye koran
Yan Allah achukue mawazo Kwa Umar😭😭😭😭inasikitisha sana
 
Yan Allah achukue mawazo Kwa Umar😭😭😭😭inasikitisha sana
Soma maandiko yenu waislamu
Umar said:.... , both righteous and evil doers enter your wives, so why don't you tell them to observe the hijab? Then the verse of hijab was revealed. ...... and it was revealed like that. Musnad Ahmad 157
 
Hadi hapa umeshajionesha ni jinsi gani usivyo na akili na hujui mambo yalianzia vipi na hijab ilikuwaje ikafikia kuvaliwa. Na hata maana ya hijab huijui vyema.

Siku nyingine kuliko kujidhalilisha hivi ni bora ukauliza ueleweshwe
Umueleweshe ujinga!
 
Soma maandiko yenu waislamu
Umar said:.... , both righteous and evil doers enter your wives, so why don't you tell them to observe the hijab? Then the verse of hijab was revealed. ...... and it was revealed like that. Musnad Ahmad 157
Ndivyo walivyo hawa jamaa zetu.
Ukiwawekea maandiko yao wenyewe wanaona mwongo na usiye faa.

Mimi binafsi hadi sasa nimeshindwa kuwaelewa.
 
Wakristo mmeruhusiwa kuvaa nusu uchi, Waislamu Mungu wao amehamrisha wanawake wajistili kimavazi, kwahiyo nyie wavaeni nusu uchi yesu kawaruhusu
 
Yesu amewaruhusu mvae nusu uchi, waacheni wenzenu wajistil.

Nyie mmeruhusiwa makanisani muende hata na vichupi
 
Wakristo yesu kawaruhusu mvae nusu uchi, vaeni tu ruksa
 
Udhaifu tu wa baadhi ya wanaume wa kiislam, hasa wanaojiita masheikh, wengi wazinzi wanaogopana kugongeana mzigo tu, dini hiyo imejengwa kwa hisia za kimwili zaidi kuliko kiroho
Sawa,nyie yesu kawaruhusu mvae nusu uchi, vaeni, ndiomaana mapadri wanawafffff#irrra maana mnawaonyesha masaburi na vibikini huko kwenye ibbada, tembeeni nusu uchi yesu anaangalia moyo haangalii masaburi yenu
 
Nasikitika sana nilichoandika mimi na unachonijibu ni mbali kabisa. Nilichoandika mimi ni kukujibu hoja yako uliyomuandikia zebri. Ndio nikawa nakukosoa hicho ulichokiandika. Sasa kwa bahati mbaya sana naona unazungumza kitu mbaali kabisa. Ambacho kimsingi naona hakihusiani na nilichokujibu.
 
Wakristo mmeruhusiwa kuvaa nusu uchi, Waislamu Mungu wao amehamrisha wanawake wajistili kimavazi, kwahiyo nyie wavaeni nusu uchi yesu kawaruhusu
Hakuna Aya kwenye Qurani inayoamrisha wanawake wavae Hijabu.
Iweke hapa mimi nitasilimu leo humu humu jamii forum.
 
Sawa,nyie yesu kawaruhusu mvae nusu uchi, vaeni, ndiomaana mapadri wanawafffff#irrra maana mnawaonyesha masaburi na vibikini huko kwenye ibbada, tembeeni nusu uchi yesu anaangalia moyo haangalii masaburi yenu
Wewe nawe uliambiwa Mungu alipo umba kulikuwa na kiwanda cha majinzi? Watu walifunikwa utukufu.(kumaanisha mioyo ilikuwa safi hakuna tamaa za kijinga.) Sasa unakuta mtu kavaa hijabu soksi nyeusi miwani myeusi na gloves ila ukimfuatilia wazee wamesha mla kisamvu huo ni unafiki
 
Kwa mujibu wa uislam mwili wote wa mwanamke ni uchi na hili kila mwanaume rijali hawezi kulipinga, kuna mtu akitizama nywele tu za mwanamke tayari kashasisimka, kuna ambao wakiona mguu tu tayari akili zao zishavurugika. Mungu kwasababu anatujua wanaume tulivyo, akatoa amri wanawake wajistiri.

Na uchi wa mwanaume ni baina ya kitovu na magoti, so mwanaume unatakiwa ufunike maeneo hayo.
 
Kwanini Adam na hawa baada ya kula tunda na nyuchi zao kudhihirika walikimbilia kujifunika na majani ndani ya bustani ya eden??
 
Kwanini Adam na hawa baada ya kula tunda na nyuchi zao kudhihirika walikimbilia kujifunika na majani ndani ya bustani ya eden??
Utukufu uliondoka. Sasa utukufu hauwepo kwa kujifunika mahijab huku moyoni umejaa takataka. Hao wanao protest wanaishi kwenye nchi yenye sheria za kidini wewe unawazidi nini mtu uliyepokea dini ambayo iliambatana na biashara za utumwa?
 
Utukufu uliondoka. Sasa utukufu hauwepo kwa kujifunika mahijab huku moyoni umejaa takataka. Hao wanao protest wanaishi kwenye nchi yenye sheria za kidini wewe unawazidi nini mtu uliyepokea dini ambayo iliambatana na biashara za utumwa?
Wewe unajuaje ya moyoni mwa aliyevaa hijab? Je umepewa funguo ya kuuona uchamungu wa mtu ambao upo moyoni?
 
Sitetei kabisa mauaji ya huyo mwanamama na sheria ya uislam haisemi kuwa mwanamke asipovaa hijab auawe!! Ila ningependa taratibu za dini ziheshimiwe, uislam unamtaka mwanamume (baba,mume,kaka,babu,mjomba) wasimamie wanawake waliochini yao wajistiri miili yao kwa hijab.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…