Kuvaa Hijab ni dini au udhaifu wa wanaume?

Kuvaa Hijab ni dini au udhaifu wa wanaume?

Unanikumbusha, Vijana wa kariakoo na mbezi, wakipita wadada walivaa kimini cha kihasara hasara, wanamzonga wengine wakiingiza mikono yao kule, mpaka wanamchania hicho, kisketi mpaka anabaki Uchi, ila uzuri wanawake wanasitliana, hujitokeza mama mwema, na kumpa kitenge chake.

Ila siku hizi, wadada wameacha kuvaa nguo hizo hayo maeneo.
Sasa utandawazi kabisa limekuwa jambo la kawaida
 
Unanikumbusha, Vijana wa kariakoo na mbezi, wakipita wadada walivaa kimini cha kihasara hasara, wanamzonga wengine wakiingiza mikono yao kule, mpaka wanamchania hicho, kisketi mpaka anabaki Uchi, ila uzuri wanawake wanasitliana, hujitokeza mama mwema, na kumpa kitenge chake.

Ila siku hizi, wadada wameacha kuvaa nguo hizo hayo maeneo.
Hao vijana wamekosea, wamelishwa alkasusu kutoka Iran. Hata zamani ilikuwa nadra kuona mwanamke aliyevaa suruali, wanaume walikuwa wanahaika kwakuwa walikuwa hawajazoea. Lakini sasa hivi ni nani anahangaika na wanawake waliovaa suruali, skin tight, pens au eans iliyochanwa kwenye magoti na mapaja? Siku hizi wanawake wanaendesha baiskeli, bodaboda, magari, treni, daladala, ndege na hata maguta, nani anawajali? ni upuuzi mtupu kufikiria kumgubika uso, macho na nywele mwanamke ambae tunamtaka awe daktari, muuguzi, mhasibu, surgeon, mhandisi, pilot, mkusanya kodi, mwanasoka, nk. narudia tena hijab sio dini na sio maagizo kutoka kwa Mungu.
 
Ulichoandika hakina maana ni uchafu mtupu!! Haya usivae nguo uone ,Hayo mambo ni katika kuslow down mahaswi kutokana na Tamaa za kibadamu kinaweza kuchochea uzinifu .

Hakuna mahali umelazimishwa ila kama unataka kuifuata uislamu basi tii Sheria hyo kwa mwanamke kwa nn unapenda kufuatilia vitu havikuhusu ,nenda kaangalie masisters wanavaaje kanisani kama hujui hekima ya wao kuvaa ile hijabu ni ishu za kujistiri angalia na mapadre ulishawai kuona wapo padre kavaa kipensi, nenda hata ofisini uvae kipensi uone .
Hahaaaaaaaaa nimecheka sana mkuu
 
Yaleyale ya Kuku na Yai, abgalia chimbuko la mwanadamu
Hiyo ya mwanamke kutoka kwenye ubavu wa mwanaume ni hadithi tu za Alfu lela ulela ambazo hazina uhakika na ushahidi, lakini mwanaume kutoka tumboni na kwenye tupu ya mama yake sio hadithi, ni kweli na uhakika hata leo hii unaweza kuwaona watoto walioko tumboni mwa mama zao na wakitoka huko kupitia tupu za mama zao kwa maumivu makali sana. Wanawake wangeweza kukufuru na kujiita wadogo zake Mungu lakini wala hawasemi hivyo, badala yake wanaume kwa kipumbavu tu wanawadhalilisha wanawake (mama zao) eti ooo funika uso, funika nywele, funika macho ili nisikutamani, mbona wao hawatuambii funika kifua mnatutamanisha? mbona wao ndio waliotuzaa, waliotunyonyesha kwenye matiti yao, waliotupanguza matakani tukijisaidia, na waliokuwa wanatuogesha?

Nadhani hawana adabu, na ndio maana waarabu wanateswa sana na mataifa mengine kwasababu ya laana kutoka kwa wanawake wao, miungu yao ya ardhini.
 
Hivi kati ya wewe "mmatumbi" wa kiparang'anda na huyu dada wa Iran aliyevua Hijab na kuawa ni nani yuko karibu zaidi na nasaba ya Mtume Mohamed? Unaijua dini kuliko hawa wanaoandamana kupinga hijab? jiangalie sana vinginevyo utakuwa msindikizaji wa wengine kwenye safari ya kwenda kwa Mungu.
Hapa ndipo nilipoona ujinga wako Kavulata. Inaonesha hujui chochote kuhusu Uislam. Ungekuwa unafahamu kuhusu Uislam usingeandika hivi. Ungekuwa unajua kuwa katika Uislam mbora ni yule MchaMungu usingeandika hivyo.

يَـٰٓأَيُّهَا ٱلنَّاسُ إِنَّا خَلَقْنَـٰكُم مِّن ذَكَرٍۢ وَأُنثَىٰ وَجَعَلْنَـٰكُمْ شُعُوبًۭا وَقَبَآئِلَ لِتَعَارَفُوٓا۟ ۚ إِنَّ أَكْرَمَكُمْ عِندَ ٱللَّهِ أَتْقَىٰكُمْ ۚ إِنَّ ٱللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌۭ ١٣

O humanity! Indeed, We created you from a male and a female, and made you into peoples and tribes so that you may ˹get to˺ know one another. Surely the most noble of you in the sight of Allah is the most righteous among you. Allah is truly All-Knowing, All-Aware.1 (Qur'an 49:13)

Ungekuwa unajua kuwa katika Uislam hakuna ubora wa Mwarabu juu ya asiyekuwa Mwarabu, au Asiye Muarabu juu ya Muarabu, wala hakuna ubora wa Mweupe juu ya Mweusi wala Mweusi juu ya Mweupe isipokuwa UchaMungu, usingeandika hivyo.

Abu Nadrah reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said:

يَا أَيُّهَا النَّاسُ أَلَا إِنَّ رَبَّكُمْ وَاحِدٌ وَإِنَّ أَبَاكُمْ وَاحِدٌ أَلَا لَا فَضْلَ لِعَرَبِيٍّ عَلَى أَعْجَمِيٍّ وَلَا لِعَجَمِيٍّ عَلَى عَرَبِيٍّ وَلَا لِأَحْمَرَ عَلَى أَسْوَدَ وَلَا أَسْوَدَ عَلَى أَحْمَرَ إِلَّا بِالتَّقْوَى أَبَلَّغْتُ
O people, your Lord is one and your father Adam is one. There is no favor of an Arab over a foreigner, nor a foreigner over an Arab, and neither white skin over black skin, nor black skin over white skin, except by righteousness. Have I not delivered the message?
Source: Musnad Aḥmad 22978, Grade: Sahih

Ungekuwa unajua kuwa "Miji haitakasi watu", kuwa Abu Jahl, Utba bin Rabi'ah, Walid bin Mughirah, Umayyah ibn Khalaf na wenzao walikuwa Maquraish wakiishi karibu na Ka'abah lakini walimkataa Mtume na kufa katika Ushirikina hivyo kuishi kwao Makkah hakutowafaa kitu, ungekuwa unajua hilo usingeandika hivi. Ungekuwa unajua kuwa Abu Lahab, baba yake mdogo Mtume (Swalla Allahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam), ataingia motoni tena alibashiriwa Moto katika Qur'an, usingeandika hivyo. Ungekuwa umesoma na kuifahamu kisha kuitafakari Sura hii ya Qur'an, nadhani wala usingeandika hayo;

1.Surat Al-Masad

Imeshuka MakkaIna aya 5

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0


1. Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia. 1


2. Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma. 2


3. Atauingia Moto wenye mwako. 3


4. Na mkewe, mchukuzi wa kuni, 4


5. Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa. 5

Ungekuwa umesoma Hadith hii ifuatayo, Wala usingeandika maneno yako hayo.

عَنْ أَنَسٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ أَنَّ رَجُلا قَالَ : يَا رَسُولَ اللَّهِ ، أَيْنَ أَبِي ؟ قَالَ: ((فِي النَّارِ)) فَلَمَّا قَفَّى دَعَاهُ ، فَقَالَ: ((إِنَّ أَبِي وَأَبَاكَ فِي النَّار)) مسلم



Kutoka Anas (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwamba mtu mmoja alimuuliza Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam): Ewe Mjumbe wa Allaah, baba yangu yuko wapi? Akasema: ((Motoni)). Alipogeuka akamwita kisha akamwambia: ((Baba yangu na baba yako wako motoni)) [Muslim]

Ushawahi kumsoma Bilal ibn Rabah (Radhiya Allahu 'Anhu)?

Fahamu, kuwa ubora wa watu utakuja kwa kule kushikamana na dini hii ya Allah kama alivyoifundisha Mtume Muhammad (Swalla Allahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) juu ya ufahamu wa Sahaba zake (Radhiya Allahu 'Anhum) ambao walimuamini Mtume kwanza kuliko watu wengine waliofuatia, wakachukua mafundisho yake moja kwa moja na wao ndio wakaisambaza dini na wakawazidi wengine katika Ummah huu kwa UchaMungu wao na kule kumnusuru kwao Mtume.

Hivyo huyo Akhi uliyemnukuu huenda akawa bora zaidi kuliko hao mabinti wa Iran hata kama , kama unavyodai, wanakaribiana zaidi kinasaba na Mtume. Si ajabu ukakuta wengi wao hapo ni Mashia, wajinga wasiofahamu dini, Masekula ambao hawataki dini kabisa (wakiwemo Atheists) na wengine huenda wakawa ni Majusi (Zoroastrians) au Waislam maasi, jambo ambalo haliwafanyi kuwa bora.

Na Allah anajua zaidi.
 
Hiyo ya mwanamke kutoka kwenye ubavu wa mwanaume ni hadithi tu za Alfu lela ulela ambazo hazina uhakika na ushahidi, lakini mwanaume kutoka tumboni na kwenye tupu ya mama yake sio hadithi, ni kweli na uhakika hata leo hii unaweza kuwaona watoto walioko tumboni mwa mama zao na wakitoka huko kupitia tupu za mama zao kwa maumivu makali sana. Wanawake wangeweza kukufuru na kujiita wadogo zake Mungu lakini wala hawasemi hivyo, badala yake wanaume kwa kipumbavu tu wanawadhalilisha wanawake (mama zao) eti ooo funika uso, funika nywele, funika macho ili nisikutamani, mbona wao hawatuambii funika kifua mnatutamanisha? mbona wao ndio waliotuzaa, waliotunyonyesha kwenye matiti yao, waliotupanguza matakani tukijisaidia, na waliokuwa wanatuogesha?

Nadhani hawana adabu, na ndio maana waarabu wanateswa sana na mataifa mengine kwasababu ya laana kutoka kwa wanawake wao, miungu yao ya ardhini.
Mwanamke hawezi beba Mimba bila kukutana na mwanaume kwa hiyo mwanaume ndio chanzo cha mwanamke kuzaa
 
Hapa ndipo nilipoona ujinga wako Kavulata. Inaonesha hujui chochote kuhusu Uislam. Ungekuwa unafahamu kuhusu Uislam usingeandika hivi. Ungekuwa unajua kuwa katika Uislam mbora ni yule MchaMungu usingeandika hivyo.

يَـٰٓأَيُّهَا ٱلنَّاسُ إِنَّا خَلَقْنَـٰكُم مِّن ذَكَرٍۢ وَأُنثَىٰ وَجَعَلْنَـٰكُمْ شُعُوبًۭا وَقَبَآئِلَ لِتَعَارَفُوٓا۟ ۚ إِنَّ أَكْرَمَكُمْ عِندَ ٱللَّهِ أَتْقَىٰكُمْ ۚ إِنَّ ٱللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌۭ ١٣

O humanity! Indeed, We created you from a male and a female, and made you into peoples and tribes so that you may ˹get to˺ know one another. Surely the most noble of you in the sight of Allah is the most righteous among you. Allah is truly All-Knowing, All-Aware.1 (Qur'an 49:13)

Ungekuwa unajua kuwa katika Uislam hakuna ubora wa Mwarabu juu ya asiyekuwa Mwarabu, au Asiye Muarabu juu ya Muarabu, wala hakuna ubora wa Mweupe juu ya Mweusi wala Mweusi juu ya Mweupe isipokuwa UchaMungu, usingeandika hivyo.

Abu Nadrah reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said:



Ungekuwa unajua kuwa "Miji haitakasi watu", kuwa Abu Jahl, Utba bin Rabi'ah, Walid bin Mughirah, Umayyah ibn Khalaf na wenzao walikuwa Maquraish wakiishi karibu na Ka'abah lakini walimkataa Mtume na kufa katika Ushirikina hivyo kuishi kwao Makkah hakutowafaa kitu, ungekuwa unajua hilo usingeandika hivi. Ungekuwa unajua kuwa Abu Lahab, baba yake mdogo Mtume (Swalla Allahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam), ataingia motoni tena alibashiriwa Moto katika Qur'an, usingeandika hivyo. Ungekuwa umesoma na kuifahamu kisha kuitafakari Sura hii ya Qur'an, nadhani wala usingeandika hayo;

1.Surat Al-Masad

Imeshuka MakkaIna aya 5

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0


1. Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia. 1


2. Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma. 2


3. Atauingia Moto wenye mwako. 3


4. Na mkewe, mchukuzi wa kuni, 4


5. Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa. 5

Ungekuwa umesoma Hadith hii ifuatayo, Wala usingeandika maneno yako hayo.

عَنْ أَنَسٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ أَنَّ رَجُلا قَالَ : يَا رَسُولَ اللَّهِ ، أَيْنَ أَبِي ؟ قَالَ: ((فِي النَّارِ)) فَلَمَّا قَفَّى دَعَاهُ ، فَقَالَ: ((إِنَّ أَبِي وَأَبَاكَ فِي النَّار)) مسلم



Kutoka Anas (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwamba mtu mmoja alimuuliza Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam): Ewe Mjumbe wa Allaah, baba yangu yuko wapi? Akasema: ((Motoni)). Alipogeuka akamwita kisha akamwambia: ((Baba yangu na baba yako wako motoni)) [Muslim]

Ushawahi kumsoma Bilal ibn Rabah (Radhiya Allahu 'Anhu)?

Fahamu, kuwa ubora wa watu utakuja kwa kule kushikamana na dini hii ya Allah kama alivyoifundisha Mtume Muhammad (Swalla Allahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) juu ya ufahamu wa Sahaba zake (Radhiya Allahu 'Anhum) ambao walimuamini Mtume kwanza kuliko watu wengine waliofuatia, wakachukua mafundisho yake moja kwa moja na wao ndio wakaisambaza dini na wakawazidi wengine katika Ummah huu kwa UchaMungu wao na kule kumnusuru kwao Mtume.

Hivyo huyo Akhi uliyemnukuu huenda akawa bora zaidi kuliko hao mabinti wa Iran hata kama , kama unavyodai, wanakaribiana zaidi kinasaba na Mtume. Si ajabu ukakuta wengi wao hapo ni Mashia, wajinga wasiofahamu dini, Masekula ambao hawataki dini kabisa (wakiwemo Atheists) na wengine huenda wakawa ni Majusi (Zoroastrians) au Waislam maasi, jambo ambalo haliwafanyi kuwa bora.

Na Allah anajua zaidi.
Mtu anaweza kuikataa dini (chama) lakini hawezi kumkataa Mungu (nchi), hakuna mtu hata mmoja anaeweza kumkataa mungu hata kwa dakika 5 akabaki kuwa hai. Ukubwa, utukufu na amri za Mungu zinaonekana kwenye kuvuta, punzi, kula chakula, kulala usingizi, kulia kwa maumivu, huzuni, kutoka jasho, kujisikia baridi, kwenda masalani, nk. Kila mtu lazima atii amri hizi za Mungu yeye mwenyewe bila kutuma mtu hata kama angekuwa tajiri namna gani na hakuna mtu atadanganya wala kuzipuuzia shurti hizi za mungu. Je, ni tajiri yupi, mfalme hupi anaweza kukataa kwenda chooni kujisaidia?

Dini hizi my friend ni jitihada za mtu mmoja kwa kutumia ndoto ili kuisaidia jamii yake kufanikisha jambo fulani Ili kuepuka kuulizwa maswali magumu na wenzake wanaomzunguuka akina Abu Jahl, Utba bin Rabi'ah, Walid bin Mughirah, Umayyah ibn Khalaf anakimbilia kwenye ndoto (nilioteshwa ndoto, niliteremshiwana, Jiburiru) na akiendelea kuhoji atajibiwa kwa upanga ikibidi. Hii ni sawa na mtu anaetaka kuhalalisha tozo kwa wananchi wanaohoji uhalali wake kwa kujibu kuwa tozo inajenga madarasa, vituo vya afya, kusambasa maji, umeme vijijini, nk ili watu wakubali umuhimu wao kwao kuwa bila tozo vitu hivyo haviwezi kupatikana, lakini mtu huyo hayuko tayari kueleza pia juu ya matumizi ya fedha zinazokusanywa kwenye vyanzo vingine kama madini, bandari, nk kuwa navyo vinajenga kitu gani, ukimuuliza maswali hayo utapigwa panga la pajini,
 
Mwanamke hawezi beba Mimba bila kukutana na mwanaume kwa hiyo mwanaume ndio chanzo cha mwanamke kuzaa
huna ufahamu kwenye upande huo ni heri usiende huko. Mwanamke pekee hawezi kuzaa na mwanaume pekee hawezi kuzaa pia
 
Duniani tunaishi kwa taratibu fulani tulizojiwekea au zilizowekwa kulingana na mahitaji au kukidhi madhumuni fulani.

Taratibu hizi zinaweza kubadilika kulingana na mahitaji ya wakati husika.
Lakini pia taratibu zinaweza kutofautiana baina ya eneo moja na jingine, tamaduni moja na nyingine, n.k

Kwa ambao dini yao inawalazimisha kuvaa mavazi ya aina fulani, acha wafuate taratibu hizo kwa mujibu wa dini yao.

Wale ambao dini haiwalazimishi kuenenda katika namna hiyo, acha wasiyafanye hayo.

Kinacholeta fujo na machafuko duniani ni kujaribu kulazimishana kufuata mfumo fulani mahsusi wa maisha.

Mungu yeye hana baya, alitoa haki kamili ya mtu kujichagulia namna ya kuishi, na kuwa tayari kwa matokeo (consequences) za chaguo hilo.

Dunia ngumu sana hii.
Taratibu za jamii husika sawa ila kulazimisha ziwe za kidini na jeshi au mamlaka fulani ndio wasimamie hiyo sio sahihi bali ni takwa la kitamaduni,Hoja ni imani kulazimishwa na walazimishaji ni binadamu!
 
Watoto hawatahiriwi kama sehemu ya dini, bali wanatahiriwa kama sehemu ya kujikinga na magonjwa ya mfumo wa mkojo na uzazi.
Mmeliweka kidini na ndio maana hakuna muislamu asiyetahiriwa tena bora hata kula nguruwe utawaona ila sio tohara.
 
Acha ulongo,mavuzi hayanaga kazi,eti yanaweza kuufunika mkuyenge!
 
Acha ulongo,mavuzi hayanaga kazi,eti yanaweza kuufunika mkuyenge!
Mungu hazifahamu nguo ila anayafahamu mav*uzi, na alitaka yasinyolewe maana hakutupa viwembe wala mashine za kunyolea. kazi yake ni kuufunika uke au uume kuukinga dhidi mavumbi, jua kali, na baridi, na macho ya watu, lakini pia yasaidie kwenye msuguano na mpapaso wakati wa kujamiana, pia unazuia mke asisuguliwe sana wakati wa kujamiana maana yanaka, nyuzi zinazuia jasho isishuke kuingia jichoni, ndefu ni kutofautisha kati ya mume na mwanamke, nywele kichwani zinazuia kichwa dhidi ya joto la jua, baridi, na mionzi mibaya kutoka kwenye jua, kope zinazuia wadudu na vumbi visiingie jichoni, nywele za puani (celia) zinachuja vumbi lisifike kooni na mapafuni, nywele za ngozi (malaika mwilini) kusaidia matundu ya jasho kwenye ngozi yasizibe. Hivyo ndugu yangu Mungu kamuumba binadamu kwa ukamilifu wake kabisa, hahitaji nyongeza kutoka kwa sheikh wala padre. Jamii husika yenyewe ndio iliyoongeza vikorobwezo vyake vya magauni, vitenge, wanja, perfume, makeups, hijab, soksi, baibui, chupi, sidiria, kondom, nk. Hivi vote havitoki kwa mungu na sio vya mungu, hivyo anaemlazimisha mtu kuvivaa kwa lazima atakuwa hana tofauti na mwalimu anavyomlazimisha mwanafunzi wake avae proper uniform (sare) na kuchomekea shati. Sasa akitokea mwl anamuua mwanafunzi kwakuwa hakuchomekea shati lake hili ni kosa au sio kosa? Hijab sio mali ya mungu.
 
Kwa mantiki ya hoja yako then kwanini watu hawatembei uchi barabarani kwa kuacha hizo nywele za kuzaliwa pekee ziwastiri matokeo yake wanavaa nguo?
 
Taratibu za jamii husika sawa ila kulazimisha ziwe za kidini na jeshi au mamlaka fulani ndio wasimamie hiyo sio sahihi bali ni takwa la kitamaduni,Hoja ni imani kulazimishwa na walazimishaji ni binadamu!
Key word TUSILAZIMISHANE.
 
Anaetakiwa kurekebishwa na kuacha tamaa ni mwanaume, na sio kumpa mwanamke mzigo wa manguo, binadamu anauwezo wa ku control hisia zake
Kama vile tu baba hawezi tamani mtoto wake wa kike ,ila anae tamani ni mgonjwa wa akili ndo hivyo wanaotamani hovyo wanawake kisa nywele ni wagonjwa wa akili (sex maniac)
Umesoma vizuri maandiko lakini au unataka tu kubishana
 
Umesoma vizuri maandiko lakini au unataka tu kubishana
Huyo Mokiti Kazi yake kubwa humu ni kupotosha hata umuelimishe vipi na utamkuta karibia kila uzi unaohusu uislamu ,haelimiki yeye anaganda kwenye analolitaka ndio maana watu wengi humu tunampuuza comments zake tunazipita kama hatuzioni na tunamquote pale kwenye ulazima tu ili kubainisha upofu wake akiwa mbishi anataka ligi tunamfungia vioo tu.
 
Dini ya Uislaam inataka mwanamke afiche nywele zake hiyo ni Amri na sababu zilizotolewa ni kwamba mwili wa mwanamke ni karubia wote ni Uchi kwamba anatamanisha kwa hiyo anatakiwa auhifadhi.
Inaonekana mnapenda ngono sana watu wa dini ya hakhi
 
Back
Top Bottom