Kuvaa Hijab ni dini au udhaifu wa wanaume?

Kuvaa Hijab ni dini au udhaifu wa wanaume?

Nadhani jambo la kumtamani mwanamke kisa kuona nywele napinga,maana wazee wetu wa zamani walikuwa hawavai na kujificha ficha na mambo yalikuwa mazuri tu.

Minadhani jambo la kuvaa ni la kijamii zaidi ukikua unaona hata matiti kama kwenye nchi ya eswatin uwezi ona cha ajabu.
ukikua kwenye jamii watu wana vaa ijabu muda wote ukiona hata unywele lazima ushituke maana iyo hali mnakuwa mmejitengenezea wenyewe na jamii yenu.

Kwa mfano ukiona ziwa la mwanamke anae nyonyesha wala ushituki ila mwanamke asie nyonyesha linakupa msisimko.


Kwangu naona haya mambo ni jamii tu na jamii.View attachment 2368906
sisi kwetu matiti sio sex organ, mama anatoa titi lake sokoni ananyonyesha mwanawe, eti ooooh kila kiungo cha mwanamke ni uchi, kafieni mbali huko. tunakwenda shule Marekani wasichana wamevaa vipensi vifupi mpaka pacha ya miguu unaiona lakini hakuna mtu anagusa wala kutamani. Kuna watu wanataka wasaidiwe na wanawake kwenda peponi. Eti mwanamke asitoe sauti, avae hijab, afiche uso na macho yake, avae soksi miguuni na juba gubigubi la sivyo kidume hakiendi mbinguni, swine!!
 
Ni dini gani iliyojenga viwanda vya kutengeneza Hijab, kanzu, suti au majuba? Mungu alitosha, anatosha na atatosha hata kesho, mavazi sio dini, hayatengenezwi na dini na wala hayatoki mwa mungu na hutaenda peponi kwa mavazi tu. Tunawaonea wanawake kwanini? Mbona wanaume nao wanatembe vichwa, vifua na mabaya vikiwa wazi? mbona wanawake hawahoji?
Kavulata umeongea jambo la msingi sana.
 
Argument yangu mimi iko very simple, sijui hata kwanini umenikandika miswali yote hiyo.

Labda nirudie:
Mwenyezi Mungu ametoa ridhaa ya mwanadamu kuishi kulingana na vile anavyoona inafaa, na pia kuwajibika na madhara au matokeo (consequences) ya machaguo hayo.

Ukiamua kuabudu masanamu, hana shida na wewe, ila uwe tayari kwa consequences za wewe kuchagua kuabudu hayo masanamu. (Angeweza kulizuia hili lisitokee kama angetaka, lakini ameliruhusu litokee kwa sababu anaheshimu UHURU WA MWANADAMU KUJICHAGULIA HATMA YAKE YEYE MWENYEWE)

Hivyo basi, kama wewe KAVULATA unataka kutembea uchi, bila viatu. RUKSA. (Maana huo ndio utaratibu wako)

Wanaotaka kuvaa hijab. RUKSA. (Na wao huo ndio utaratibu wao)

Anayetaka kutembelea mgongo badala ya miguu. RUKSA (Nayeye huo ndio utaratibu wake).

Tatizo ni pale "sisi binadamu" tunapotaka kuanza kuwalazimisha wengine wafuate machaguo yetu.

Mifano:
1. Watu wa Iran wanawalazimisha watu wasiotaka kuvaa hijab, wavae hijab. (TATIZO HILO)
2. Wewe Kavulata unawalazimisha watu wanaoamini kwamba kuvaa hijab ndio utaratibu sahihi, wasiamini hivyo. (TATIZO HILO).
Kwa hiyo tukubaliane kwamba shida sio Mungu ila ni sisi tu ndo tuna shida kuamulia watu wamfuate Mungu kwa nguvu.
 
Sasa mbona wanaume wanazaliwa na magovi?jee kuyakata ni kumsahihisha Mungu katika uumbaji wake wa mwanaume?
Kwani usipokatwa govi mbingun huwendi? Na nitakua nimevunja amri ipi nispo katwa govi kwa mfano?
 
Hijab inatengenezwa na wanadamu kwa mikono yao na sababu zao, lakini uhai wa yule binti aliyeuliwa unatoka kwa Mungu, wangemwacha Mungu amuadhibu mwenyewe kama kweli hijab ni kwaajili yake Mungu. Yaani mtoto avae hijab ili wewe utupu wako usimdisie, la sivyo utamuua asipoivaa. Yaani mtoto akusaidie wewe kwenda peponi kwa yeye kuficha nywele zake vinginevyo itatenda dhambi. Umekuwa beberu?
Hadi hapa umeshajionesha ni jinsi gani usivyo na akili na hujui mambo yalianzia vipi na hijab ilikuwaje ikafikia kuvaliwa. Na hata maana ya hijab huijui vyema.

Siku nyingine kuliko kujidhalilisha hivi ni bora ukauliza ueleweshwe
 
Hadi hapa umeshajionesha ni jinsi gani usivyo na akili na hujui mambo yalianzia vipi na hijab ilikuwaje ikafikia kuvaliwa. Na hata maana ya hijab huijui vyema.

Siku nyingine kuliko kujidhalilisha hivi ni bora ukauliza ueleweshwe
Muelekeza mtunzi wa hijab ni Umar

Nukuu ya waislamu wanatujuza aya ya hijab ilipotokea
Umar said:.... , both righteous and evil doers enter your wives, so why don't you tell them to observe the hijab? Then the verse of hijab was revealed. ...... and it was revealed like that. Musnad Ahmad 157
 
Ulichoandika hakina maana ni uchafu mtupu!! Haya usivae nguo uone ,Hayo mambo ni katika kuslow down mahaswi kutokana na Tamaa za kibadamu kinaweza kuchochea uzinifu .

Hakuna mahali umelazimishwa ila kama unataka kuifuata uislamu basi tii Sheria hyo kwa mwanamke kwa nn unapenda kufuatilia vitu havikuhusu ,nenda kaangalie masisters wanavaaje kanisani kama hujui hekima ya wao kuvaa ile hijabu ni ishu za kujistiri angalia na mapadre ulishawai kuona wapo padre kavaa kipensi, nenda hata ofisini uvae kipensi uone .
Umeongea ukweli kabisa kwanza mwanamke akijistiri anapendeza sana
 
Akipendeza muislamu wa kiume anamtamani tena , Yani ni full kutamani
Kuna namna inatakiwa ivaliwe pia hta namna ya kuongea kwa mtoto wa kike kilakitu kimefundisha ni vile tu ni wabishi tu

Lkn pia haifanani anapendeza lakini kutamaniwa akiwa kwenye stara sio kma akitembea nusu uchi
 
Kuna namna inatakiwa ivaliwe pia hta namna ya kuongea kwa mtoto wa kike kilakitu kimefundisha ni vile tu ni wabishi tu

Lkn pia haifanani anapendeza lakini kutamaniwa akiwa kwenye stara sio kma akitembea nusu uchi
Kumbuka Umar alipo leta swala la hijab ni kuwa wake zake Muhammad walikuwa wanavaa nusu uchi mpaka wakawa wanatamaniwa , sasa kama unasema akivaa pia hijab tamaa ipo pale pale hapo ni kuwarekebisha wanaume waache na WA control tamaa zao
 
Nimezungumzia now hatuvai namna zilivoamrishwa zivaliwe manakshi nakshi ni mengi kias kutamanisha ndo lengolangu lilikuwa hapo
Kumbuka Umar alipo leta swala la hijab ni kuwa wake zake Muhammad walikuwa wanavaa nusu uchi mpaka wakawa wanatamaniwa , sasa kama unasema akivaa pia hijab tamaa ipo pale pale hapo ni kuwarekebisha wanaume waache na WA control tamaa zao
 
Back
Top Bottom