Nadhani jambo la kumtamani mwanamke kisa kuona nywele napinga,maana wazee wetu wa zamani walikuwa hawavai na kujificha ficha na mambo yalikuwa mazuri tu.
Minadhani jambo la kuvaa ni la kijamii zaidi ukikua unaona hata matiti kama kwenye nchi ya eswatin uwezi ona cha ajabu.
ukikua kwenye jamii watu wana vaa ijabu muda wote ukiona hata unywele lazima ushituke maana iyo hali mnakuwa mmejitengenezea wenyewe na jamii yenu.
Kwa mfano ukiona ziwa la mwanamke anae nyonyesha wala ushituki ila mwanamke asie nyonyesha linakupa msisimko.
Kwangu naona haya mambo ni jamii tu na jamii.
View attachment 2368906