joseph albinus
Member
- Sep 9, 2014
- 5
- 2
hayo ndo mabadiliko ya teknolojia Tedo si utovu Wa nidhamu
U must be an idiot ----n dumb dick sucker kufuatilia maisha ya watu, kila mtu ana preference yake. Wewe unafaa kutangaza vile vipindi vya taarabu, umbea na majungu....
U must be an idiot ----n dumb dick sucker kufuatilia maisha ya watu, kila mtu ana preference yake. Wewe unafaa kutangaza vile vipindi vya taarabu, umbea na majungu....
Huyo naona makunyanzi ya uso yanamjia vibaya , yaani hawa ndio wale wanaojua digitali imekuja sasa hivi baada ya kusikia tv hazitaonyesha , while ilishakuja miaka dahali kwa wengine.Siku zikija flyover huko atasema barabara za vumbi hazifai.
Hivi, kwani kutoa mada ni lazima?? Kuna mada zingine bhana hazina kichwa wala miguu, mi nadhani ungeweka mada ya kuuliza umhm wa saa wkt mtu unatumia cm ni upi ungekuwa sahihi zaidi!
Kumbe bado wa kusoma wewe, utakapohitimu utajua kwa nini bado tunavaa saa
Tukichepuka huwa tunazima simu sasa tutajuaje muda?
Mabadiliko ya teknolojia hayawezi ondoa maadili, miiko na tunu za utamaduni wetu...
Tedo ni nani mkuu..??