Kuvamiwa kwa Israeli, mzaliwa wa kwanza wa Mungu Mwenyezi, inaashiria nini kwa dunia?

Taifa hili au
 
Toa reference ya maandiko matakatifu yanayosema Israel ni mzaloliwa wa kwanza wa Mungu.
Kitabu cha Kutoka sura ya 4;
22 Nawe umwambie Farao, Bwana asema hivi, Israeli ni mwanangu mimi, mzaliwa wa kwanza wangu;

23 nami nimekuambia, Mpe mwanangu ruhusa aende, ili apate kunitumikia, nawe umekataa kumpa ruhusa aende; angalia basi, mimi nitamwua mwanao, mzaliwa wa kwanza wako.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti first born[emoji23][emoji23]please Go and read your Bible again. "The synagogue of Saturn " Jesus called them.
Kitabu cha Kutoka sura ya 4;
22 Nawe umwambie Farao, Bwana asema hivi, Israeli ni mwanangu mimi, mzaliwa wa kwanza wangu;

23 nami nimekuambia, Mpe mwanangu ruhusa aende, ili apate kunitumikia, nawe umekataa kumpa ruhusa aende; angalia basi, mimi nitamwua mwanao, mzaliwa wa kwanza wako.
 
Yaani kama tumerogwa,unakutana na mtu unamheshimu kabisa unakuta anapepeerusha bendera ya israel!![emoji38]

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Hivi nchi za mashariki ya mbali kama India,Japan,China,Mongolia n.k wao wana mawazo kama yako ya kufikiria mambo ya Ibrahim na kizazi chake.
Hiki kiburi mnachowapa waisraeli kuwa ni taifa teule linawapa kichwa sana
Usilazimishe imani yako kwa wengine.Nchi nilizotaja wala hawatambui uwepo wa huyu mungu wetu wana miungu yao na mambo yao yanakwenda fresh tu.
Mbwa wa mfalme hawezi kuwa mfalme wa mbwa wote
 
Ndo maana nikasema Mungu Mkuu ambaye ni muumba wa dunia na ulimwengu na vyote vilivyomo, hao uliowataja ni miumgu ambayo haiwezi kuumba hata sisimizi. Kwa mantiki hii Mungu Mkuu ndiyo anajulikana pia kama Mungu wa Israel na ndo ninayemwongelea hapa.​
 
Achana na hilo jamaa jinga limelishwa maneno likaamini.
 
Inapenda kujipendekeza sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…