Kuvamiwa kwa Israeli, mzaliwa wa kwanza wa Mungu Mwenyezi, inaashiria nini kwa dunia?

Kuvamiwa kwa Israeli, mzaliwa wa kwanza wa Mungu Mwenyezi, inaashiria nini kwa dunia?

Dunia inapitia wakati mgumu sana hasa kutokana na kuwa na viongozi wenyetamaa ya madaraka kupoitiliza kiasi kuwa wako tayari kufanya lolote kuonyesha madaraka yao (mtafute Prigozyn). Putin anataka Marekani iweke nguvu zaidi huko Israel ili yeye ajimegee Ukraine; hivyo kwa kusihirikiana na Iran wakaanzisha vita nyingine huko Israel ikiwa ni baada ya kutanganzaia nchi yake kujiandaa na vita ya nyuklia. Tabui sana dunia yetu hii ya leo. Miaka ya tisini na mwanzoni mwa miaka ya 200 dunia ilikuwa mahali pazuri sana kusihi lakini leo watu tunaanza kufikiria kuhamia Mars.
 
Hapo ni mwanzo tu, ila waarabu wataungana na kumchapa Israeli, Hali yake itafanana na hali ya Ukraine.

Wslishawai kuungana waarabu walichezea kichapo heavy hawatamani tena na kipindi icho ndio israel walikuwa wamerudi kwao yani walikuwa kama ndio wanaanza maisha jiulize Israel ya sasa ikoje
 
Mzaliwa wa Mungu kwa mujibu wa nani?

Mzaliwa wa kwanza kwa Mujibu wa Biblia ni mwana wa Mungu wa kwanza ambaye ni kristo na kuna mzaliwa wa pili the same way wa tatu na kuendelea.

Mzaliwa wa kwanza wa watu/wanadamu ni yule kidini tunamuita Adamu ilihali hakuitwa haya majina haramu ya wazungu/waarabu na mzaliwa wa pili kwa wanadamu na kuendelea ni jinsi ngazi ya uzao toka kwa mtu wa kwanza mpaka wa mwisho kuja kuzaliwa inavyokwenda.

Kiufupi Muumba wa kweli hana mzaliwa pekee wala mzaliwa mmoja bali viumbe wote wa kiroho na kimwili ni wazaliwa wake yaani wana wa kwake.

Malaika ni wana wa Mungu, maserafi, makerubi mpaka wanadamu ni wana wa Mungu.

Huo mfumo wa kusema taifa fulan ni wana wa Mungu sijui au yesu ndie mwana pekee wa Mungu huo ni ushetani walioutunga wazungu wa kirumi waliobadiri maandiko kwa maslahi yao na ndio hawa hawa walishirikiana kuunda taifa la mchongo hapo middle east ili kutawala jamii za waarabu kisiasa na kiuchumi bila kusahau kiimani, kupitia uongo wallioutunga kwa kuwaaminisha watu.

Israel ya sasa sio lile taifa la Biblia maana hawa wamejiunda wao kwa maslahi yao wala hawana historia yoyote , ya kuishi hapo kwakuwa hata kihistoria Israel ya kweli haikuwepo eneo hilo la waarabu

Migogoro haitokwisha kati ya hao wazungu wanaojiita waisrael na hao waarabu, maana historia ilishawakataa hao jamaa kuwa wao si wa eneo hilo na wala wao si waisrael wa kweli, hivyo watabaki kuua raia bure kwa kuforce kukalia ardhi kimabavu na kulazimisha historia isiyo yao.
Mzaliwa wa Mungu kwa mujibu wa nani?

Mzaliwa wa kwanza kwa Mujibu wa Biblia ni mwana wa Mungu wa kwanza ambaye ni kristo na kuna mzaliwa wa pili the same way wa tatu na kuendelea.

Mzaliwa wa kwanza wa watu/wanadamu ni yule kidini tunamuita Adamu ilihali hakuitwa haya majina haramu ya wazungu/waarabu na mzaliwa wa pili kwa wanadamu na kuendelea ni jinsi ngazi ya uzao toka kwa mtu wa kwanza mpaka wa mwisho kuja kuzaliwa inavyokwenda.

Kiufupi Muumba wa kweli hana mzaliwa pekee wala mzaliwa mmoja bali viumbe wote wa kiroho na kimwili ni wazaliwa wake yaani wana wa kwake.

Malaika ni wana wa Mungu, maserafi, makerubi mpaka wanadamu ni wana wa Mungu.

Huo mfumo wa kusema taifa fulan ni wana wa Mungu sijui au yesu ndie mwana pekee wa Mungu huo ni ushetani walioutunga wazungu wa kirumi waliobadiri maandiko kwa maslahi yao na ndio hawa hawa walishirikiana kuunda taifa la mchongo hapo middle east ili kutawala jamii za waarabu kisiasa na kiuchumi bila kusahau kiimani, kupitia uongo wallioutunga kwa kuwaaminisha watu.

Israel ya sasa sio lile taifa la Biblia maana hawa wamejiunda wao kwa maslahi yao wala hawana historia yoyote , ya kuishi hapo kwakuwa hata kihistoria Israel ya kweli haikuwepo eneo hilo la waarabu

Migogoro haitokwisha kati ya hao wazungu wanaojiita waisrael na hao waarabu, maana historia ilishawakataa hao jamaa kuwa wao si wa eneo hilo na wala wao si waisrael wa kweli, hivyo watabaki kuua raia bure kwa kuforce kukalia ardhi kimabavu na kulazimisha historia isiyo yao.
Waisrael wa kweli wako wapi? Yaani wako nchi gani?
 
Dunia inapitia wakati mgumu sana hasa kutokana na kuwa na viongozi wenyetamaa ya madaraka kupoitiliza kiasi kuwa wako tayari kufanya lolote kuonyesha madaraka yao (mtafute Prigozyn). Putin anataka Marekani iweke nguvu zaidi huko Israel ili yeye ajimegee Ukraine; hivyo kwa kusihirikiana na Iran wakaanzisha vita nyingine huko Israel ikiwa ni baada ya kutanganzaia nchi yake kujiandaa na vita ya nyuklia. Tabui sana dunia yetu hii ya leo. Miaka ya tisini na mwanzoni mwa miaka ya 200 dunia ilikuwa mahali pazuri sana kusihi lakini leo watu tunaanza kufikiria kuhamia Mars.
Hizi Story za Mchamba wima
Kaa nazo
 
Hizi Story za Mchamba wima
Kaa nazo
Sifa moja ya mpumbavu ni kukosa uwezo wa kuchanganua mambo. Unavamia festival ya vijana kuwaua na kuwateka nyara bila sababu. Sijui na wewe utafurahia Wasafi Festival ikifanyiwa mambo kama hayo hapa nyumbani.
 
Wslishawai kuungana waarabu walichezea kichapo heavy hawatamani tena na kipindi icho ndio israel walikuwa wamerudi kwao yani walikuwa kama ndio wanaanza maisha jiulize Israel ya sasa ikoje
Ila zamu hii Israeli anaenda kula mkongoto, subiri waarabu waungane.
 
Hello JF, kama kichwa cha thread kinavyoeleza....Isreali kutokana na maandiko matakatifu ni taifa linalofahamika miongozi mwa mataifa yote duniani kama mzaliwa wa kwanza wa Mungu Mkuu (the first born of God), je hili linaloendelea la kuvamiwa na magaidi linaleta taswira gani kwa dunia? karibuni kwa majadala.​
Mathayo 24:32 SRUV. Basi kwa mtini jifunzeni mfano; tawi lake likiisha kuchipuka na kuchanua majani, mnatambua ya kuwa wakati wa mavuno upo karibu.
 
Hello JF, kama kichwa cha thread kinavyoeleza....Isreali kutokana na maandiko matakatifu ni taifa linalofahamika miongozi mwa mataifa yote duniani kama mzaliwa wa kwanza wa Mungu Mkuu (the first born of God), je hili linaloendelea la kuvamiwa na magaidi linaleta taswira gani kwa dunia? karibuni kwa majadala.​
Hakuna Israel iliyovamiwa.

Wapalestina wandai haki yao wya kufungiwa Gaza na wanadai ardhi unayoiita israel inayoshikiliwa kwa mabavu na ashkenazi.
 
Asili ya Israel inafafanuliwa na nadharia kadhaa sasa mathalani nadharia hizi mbili zinaonesha kuandikwa na waandishi wengi wa historia.
1. Uru wa Wakaldayo ambayo ni Iraq kwa sasa.
2. Ni Palestina- hii inaonesha ni Wapalestina walewale waliogawanyika.
 
Kitabu cha Kutoka sura ya 4;
22 Nawe umwambie Farao, Bwana asema hivi, Israeli ni mwanangu mimi, mzaliwa wa kwanza wangu;

23 nami nimekuambia, Mpe mwanangu ruhusa aende, ili apate kunitumikia, nawe umekataa kumpa ruhusa aende; angalia basi, mimi nitamwua mwanao, mzaliwa wa kwanza wako.
Nani kaandika hii?
 
Hello JF, kama kichwa cha thread kinavyoeleza....Isreali kutokana na maandiko matakatifu ni taifa linalofahamika miongozi mwa mataifa yote duniani kama mzaliwa wa kwanza wa Mungu Mkuu (the first born of God), je hili linaloendelea la kuvamiwa na magaidi linaleta taswira gani kwa dunia? karibuni kwa majadala.​
Hao ni Walowezi tu kutoka Ulaya na Marekani. Hawajawahi kuwa uzao wa kwanza wa Mungu.
 
Hello JF, kama kichwa cha thread kinavyoeleza....Isreali kutokana na maandiko matakatifu ni taifa linalofahamika miongozi mwa mataifa yote duniani kama mzaliwa wa kwanza wa Mungu Mkuu (the first born of God), je hili linaloendelea la kuvamiwa na magaidi linaleta taswira gani kwa dunia? karibuni kwa majadala.​
Upuuzi
 
Hapo ujue kuna kitu wamekosea, na wasipoangalia hao hao wazaliwa wa kwanza wa Mungu watatandikwa wafutike kwenye uso wa Dunia.
Unaijua implication ya Israel kufutika kwenye uso wa dunia?
 
Back
Top Bottom