Ndo maana nikasema Mungu Mkuu ambaye ni muumba wa dunia na ulimwengu na vyote vilivyomo, hao uliowataja ni miumgu ambayo haiwezi kuumba hata sisimizi. Kwa mantiki hii Mungu Mkuu ndiyo anajulikana pia kama Mungu wa Israel na ndo ninayemwongelea hapa.