Kuvamiwa kwa Mbowe: CHADEMA yacharuka, Mnyika amvaa IGP amuonya kuhusu uongo unaotengenezwa na Jeshi la Polisi

Sirro ni Zero Brain kwa Sasa!!
 
Msukuma ni mshamba aliyechangamka
 
Hayo ni matumizi mabaya ya ofisi kwa nini Mbowe asemewe kwenye hilo yeye hana mdomo? Yeye na hawara yake Joyce mukya ndio wanatakiwa waseme kilichotokea.Chadrma hakikuweko eneo la tukio huo usiku wa manane.Mnyika acha kuongelea Walevi waache wenyewe waongee
 
Mbowe alilewa waache kumfichia aibu
Kila mtu anajua Mbowe ni mlevi wa kutupwa
Mwambieni huyo mseminari Mnyika aache kubwabwaja
Toa ushahidi Kama alipewa,acha kukurupuka na wewe.
Thibitisha Kama alilewa
 
Ni wajinga wachache tu ndio wanaoamini tena wapo mitandaoni Kama humu jf
Wewe upo kwenye karatasi au mitandao?
Mbowe mlimshambulia ili hamna aja ya kupinga...Tumewaona wengi mkisema wapinzani wavunjwe miguu
 

Attachments

  • VID-20200610-WA0074.mp4
    3.4 MB
Hata kama alilewa nyumba anayoishi ina cctv ambazo zipo controled na serikali kwanini wasilete ushahidi wa video siku wakina siro watakapokuwa nje ya madaraka tutawashughulikia vibaya sana kwa upumbavu wanaofanya hawana kibali cha Mungu .
Watu kama hao ni kuingia kwenye page zao za kijamii wanapewa maneno yao pale hadi akili inawakaa sawa
 
Mbowe alilewa waache kumfichia aibu
Kila mtu anajua Mbowe ni mlevi wa kutupwa
Mwambieni huyo mseminari Mnyika aache kubwabwaja
Mjifunze kuweka akiba ya maneno. Hivi mnajua kwa nini hadi sasa Mbowe amekuwa kimya juu ya huu uzushi wenu? Ngoma ikivuma sana ujue inakaribia kupasuka. Aibu kubwa inawasubiri sijui mtaweka wapi nyuso zenu. Wahenga waliosema kukaa kimya ni jibu mujarabu kwa mpumbavu hawajakosea. Upumbavu wenu utawagharimu sana.
 
Ule ndio ushahidi waliofanyia uchunguzi! Sasa Mbowe kwanini asitokee mwenyewe aseme kilichotokea badala ya kuwatuma kina Mnyika?
Na kwanini amekaa kimya muda wote huo hadi Myika nakuja na shutuma dhidi ya IGP dadala ya kueleza jinsi Mbowe alivyovamiwa na wasiojulikana!
 
Ingawa nilikuwa mdogo ila nakumbuka huyu IGP alikuwa katili sijapata kuona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…