Kuvamiwa kwa Mbowe: CHADEMA yacharuka, Mnyika amvaa IGP amuonya kuhusu uongo unaotengenezwa na Jeshi la Polisi

Kuvamiwa kwa Mbowe: CHADEMA yacharuka, Mnyika amvaa IGP amuonya kuhusu uongo unaotengenezwa na Jeshi la Polisi



Wakati wako busy na siasa huko barabarani maisha ya watanzania yapo mikononi mwa madereva wa mabasi.

Sijapata kuona upuuzi wa namna hii kwenye maisha yangu.

Kumfungia dereva wa basi hapo kwa miezi sita kama adhabu ni sawa na slap on the wrist. Hao madereva wote wawili walitakiwa kwenda jela si chini ya miaka miwili.

Tena huyo aliekuwa anapigwa overtake ndio tatizo zaidi kuliko aliekuwa akifanya overtaking halafu ndio kaachwa bila ya adhabu yoyote, uwezi ongeza speed wakati unapigwa overtake that is manslaughter ajali ikitokea.

Ningelikuwa waziri wa ulinzi kuna sababu ya kuanzisha ‘vicarious liability’ dereva wa basi akileta ajali mwenye basi anashitakiwa na kulipa fidia kwa wahanga this is unacceptable.
 
View attachment 1488940

Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika leo ametoa kauli kali ambayo ndio kauli halali ya Chama chake kuhusiana na Propaganda za kishamba zinazosambazwa na Jeshi la polisi zikiongozwa na IGP Sirro mwenyewe kuhusiana na shambulizi alilofanyiwa Mh Mbowe na Watu waliotumwa kumdhuru .

Hakuna ushahidi wowote kwamba Mbowe alilewa kama Sirro na waliomtuma wanavyoropoka mitaani , tarehe 8 na 9 June Mh Mbowe hakuwahi kukanyaga Royal Village Hotel kama watunga uongo wanavyodai , na kama kuna anayebisha alete ushahidi wa Mh Mbowe kuwepo eneo hilo kwa tarehe zilizotajwa kama waongo wanavyodai , Hakuna mtu yeyote kati ya wapiga kelele akiwemo Ndugai au Sirro wanaoweza kuthibitisha jambo hilo , wala hakuna Daktari hata mmoja katika waliomtibu Mbowe aliyethibitisha hilo , bali uongo huu unaosimamiwa na IGP kwa kulishwa maneno na Ndugai umeletwa makusudi kwa lengo la kuzima uchunguzi wa kuvamiwa kishamba kwa Mh Mbowe , kama Sirro ana ushahidi auweke hadharani .

Natoa wito kwa Chadema kumchukulia hatua IGP Sirro kwa kujiingiza kwenye siasa tena kwa kutumia Mguu wa kushoto , ikiwa Sirto anahitaji uongozi wa kisiasa basi amuombe Mwenyekiti wake wa ccm amruhusu ili tupambane naye majukwaani , Asijiingize bila taarifa ili asitumbuliwe .
Mbowe ni lilevi tu
 
View attachment 1488940

Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika leo ametoa kauli kali ambayo ndio kauli halali ya Chama chake kuhusiana na Propaganda za kishamba zinazosambazwa na Jeshi la polisi zikiongozwa na IGP Sirro mwenyewe kuhusiana na shambulizi alilofanyiwa Mh Mbowe na Watu waliotumwa kumdhuru .

Hakuna ushahidi wowote kwamba Mbowe alilewa kama Sirro na waliomtuma wanavyoropoka mitaani , tarehe 8 na 9 June Mh Mbowe hakuwahi kukanyaga Royal Village Hotel kama watunga uongo wanavyodai , na kama kuna anayebisha alete ushahidi wa Mh Mbowe kuwepo eneo hilo kwa tarehe zilizotajwa kama waongo wanavyodai , Hakuna mtu yeyote kati ya wapiga kelele akiwemo Ndugai au Sirro wanaoweza kuthibitisha jambo hilo , wala hakuna Daktari hata mmoja katika waliomtibu Mbowe aliyethibitisha hilo , bali uongo huu unaosimamiwa na IGP kwa kulishwa maneno na Ndugai umeletwa makusudi kwa lengo la kuzima uchunguzi wa kuvamiwa kishamba kwa Mh Mbowe , kama Sirro ana ushahidi auweke hadharani .

Natoa wito kwa Chadema kumchukulia hatua IGP Sirro kwa kujiingiza kwenye siasa tena kwa kutumia Mguu wa kushoto , ikiwa Sirro anahitaji uongozi wa kisiasa basi amuombe Mwenyekiti wake wa ccm amruhusu ili tupambane naye majukwaani , Asijiingize bila taarifa ili asitumbuliwe .
Joyce mukya noma
 
Wameshaanza kuweweseka kutoa kauli zao za ajabu, sadly enough mpaka IGP nae kaangukia kundi hilo, na yeye amekuwa mwanasiasa, wasubiri muda ufike wapate taarifa kamili toka Chadema, wao wamalizie uchunguzi wao kwanza.
Mlevi alilewa chakari akafichiwa siri na Joyce Mukya
 
Hii taarifa ya Chadema ni muhimu sawa, ila imeletwa kishabiki sana hapa. Nashauri Chadema wailete kama ilivyo. Polisi wametumika vibaya sana kwenye suala hili. sijui kwanini polisi wameamua kutumika kwa kiasi hiki!
Mnyika naye alikuwa amelewa kama mwenyekiti
 
Pumbaz....

Hakuna ushahidi wowote pia wa majirani ama mtu yeyote... i mean yeyote akiyesikia kupigwa kwake... na alipigwa nje ya nyumba yake.... ukivamiwa lazima upige kelele kuomba msaada...


They cant prove ulevi... but cant prove kuvamiwa na kupigwa pia.
View attachment 1488940

Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika leo ametoa kauli kali ambayo ndio kauli halali ya Chama chake kuhusiana na Propaganda za kishamba zinazosambazwa na Jeshi la polisi zikiongozwa na IGP Sirro mwenyewe kuhusiana na shambulizi alilofanyiwa Mh Mbowe na Watu waliotumwa kumdhuru .

Hakuna ushahidi wowote kwamba Mbowe alilewa kama Sirro na waliomtuma wanavyoropoka mitaani , tarehe 8 na 9 June Mh Mbowe hakuwahi kukanyaga Royal Village Hotel kama watunga uongo wanavyodai , na kama kuna anayebisha alete ushahidi wa Mh Mbowe kuwepo eneo hilo kwa tarehe zilizotajwa kama waongo wanavyodai , Hakuna mtu yeyote kati ya wapiga kelele akiwemo Ndugai au Sirro wanaoweza kuthibitisha jambo hilo , wala hakuna Daktari hata mmoja katika waliomtibu Mbowe aliyethibitisha hilo , bali uongo huu unaosimamiwa na IGP kwa kulishwa maneno na Ndugai umeletwa makusudi kwa lengo la kuzima uchunguzi wa kuvamiwa kishamba kwa Mh Mbowe , kama Sirro ana ushahidi auweke hadharani .

Natoa wito kwa Chadema kumchukulia hatua IGP Sirro kwa kujiingiza kwenye siasa tena kwa kutumia Mguu wa kushoto , ikiwa Sirro anahitaji uongozi wa kisiasa basi amuombe Mwenyekiti wake wa ccm amruhusu ili tupambane naye majukwaani , Asijiingize bila taarifa ili asitumbuliwe .
 
Back
Top Bottom