Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Mwambie mwenyekiti wako aache drama! Oktoba imefikaPumbavu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie mwenyekiti wako aache drama! Oktoba imefikaPumbavu!
Chadema wanatakiwa walete taarifa kinzani inayoonesha sultani alishambuliwa na wasiojulikana baada ya kulumbana na polisiNatoa wito kwa Chadema kumchukulia hatua IGP Sirro kwa kujiingiza kwenye siasa tena kwa kutumia Mguu wa kushoto , ikiwa Sirto anahitaji uongozi wa kisiasa basi amuombe Mwenyekiti wake wa ccm amruhusu ili tupambane naye majukwaani , Asijiingize bila taarifa ili asitumbuliwe .
Sikushangai maana akili zote ulishamkabidhi Mbowe!Wewe ndiye mpumbavu kwa sababu una hoja za kipumbavu!
weka ushahidi wa Mbowe akiikata hiyo kunywa ongeza nyingine angalia gongo inaua(konyagi)
weka ushahidi wa Mbowe akiikata hiyo kunywa ongeza nyingine angalia gongo inaua(konyagi)
Lete video ya CCTV footage hapa... Taahira weweNi mjinga tu atakae amini alichosema mnyika,sote tunajua mbowe alilewa
PimbiNimejitahidi kusoma mara 2-3 lakini ata sijaona kauli ya maana zaidi ya taarabu tu!
Headline kubwa kweli lakini hyo stori sasa! Bora ata taarabu za Hayati Bi Kidude
Shetani hana rafiki , baadaye alishitakiwa mahakama ya kinondoni kwa kumbaka house girl wake na kumtia mimba halafu akaruka matunzo ya mtotoInanikumbusha enzi za Omari Mahita alionyesha visu vyenye mipini ya rangi zinazofanana na bendera ya cuf, akiaminisha watanzania eti vimeletwa kwa ajili ya kuanzishia fujo kipindi cha kampeni. Lile contena hata leo halijaonyeshwa, hivi kweli karne ya 21 bado watz wanalishwa matango pori !!!!!!. Baada ya kustaafu akaenda kuomba ubunge na aliachwa mapema tu. Ma IGP muogopeni muumba
Wote waliomshambulia mnajua ilo ila ambao wanajua si kweli ni wengi tuNi mjinga tu atakae amini alichosema mnyika,sote tunajua mbowe alilewa
mbumbumbu hawezi kuelewaNimejitahidi kusoma mara 2-3 lakini ata sijaona kauli ya maana zaidi ya taarabu tu!
Headline kubwa kweli lakini hyo stori sasa! Bora ata taarabu za Hayati Bi Kidude
Hili wangelipotezea lipite maana wabongo kama kawaida yao walishasahau wanasubiri tukio lingine wadandie. Kwa sasa wako na bilionea Laizer. Sasa hawa wanafukua tena wakati watu wazima tulishajiongeza, tukatulia. Jamaa atoke basi aongee mwenyewe.Kwani Mbowe hana mdomo?
Kwanini asitokee mwenyewe ajitetee badala ya kina Mnyika kutumia nguvu nyingi kumtetea mwenyekiti
Mbowe wamemhifadhi tu baadhi ya mambo! Pilisi kama wanhetoa yote basi Mbowe angevuliwa nguo! Unafikiri yeye kukaa kimya ni mjinga?Lete video ya CCTV footage hapa... Taahira wewe
Vyeo vya kuteuliwa vinatesa sana.Siro nina uhakika ni kamanda ambaye hapo zamani aluthibitisha ni kamanda ambaye amekuwa na weledi na akili znuri. Sijui ametokewa na nini hata kuingia kwenye utoaji wa kauli za ajabu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Peleka ungese wako lumumbaMbowe wamemhifadhi tu baadhi ya mambo! Pilisi kama wanhetoa yote basi Mbowe angevuliwa nguo! Unafikiri yeye kukaa kimya ni mjinga?
Kanusho kwamba Mbowe hakuwa Royal... Ni wazi kwamba waliosema hivo yawapasa kuthibitisha pasipo shaka. Otherwise wanapoteza uaminifu na ni aibu.Mkuu ni aibu kubwa sana kuwa na polisi wa aina hii
Naona umepanic Mwambie basi Mbowe aje kubwabwaja kama kawaida yake uone jinsi watu watakavyomuumbua,!Peleka ungese wako lumumba
hatutegemei lolote jipya kutoka kwa ngeleja , habari za chato mkuuIla kwa hili la kuanguka Mbowe, kwakweli limeaibisha chama na uanachama wote. CDM ninavyowajua kama Mbowe angekua amepigwa wangeongea mpaka tungejuta hahaa ila kwa kuwa ni nguvu ya pombe aah wapo kimya wanarusharusha miguu tuu
Mbowe anajivunia sana kuwa na watu Msioweza kufikiri kama nyie!Kanusho kwamba Mbowe hakuwa Royal... Ni wazi kwamba waliosema hivo yawapasa kuthibitisha pasipo shaka. Otherwise wanapoteza uaminifu na ni aibu.
Hahaaa.... Kaka wala sipo huko ndugu yangu.. ni utashi tuu wa kuyatazama mambo.hatutegemei lolote jipya kutola kwa ngeleja , habari za chato mkuu