Kuvamiwa kwa Mbowe: CHADEMA yacharuka, Mnyika amvaa IGP amuonya kuhusu uongo unaotengenezwa na Jeshi la Polisi

Kuvamiwa kwa Mbowe: CHADEMA yacharuka, Mnyika amvaa IGP amuonya kuhusu uongo unaotengenezwa na Jeshi la Polisi

nakuunga mkono, mimi nafikiri kama DJ hakulewa Konyagi na kama usiku huo wa manane hakutoka nje ina maana alikuwa ndani mwake na watesi wake walivunja nyumba yake na kumtoa nje na kumpiga? na je nyumba za wabunge si zina ulinzi wa askari walikuwa wapi?

pili, kama DJ alitoka nje mwenyewe akaenda kulewa na wakati anarudi ndo akapigwa ina maana watesi wake walikula nae sahani moja na kumfuatilia siku nzima hadi walipopata chance ya kumdunda?

tatu je kama DJ hakudukuliwa mawasiliano yake ilikuwaje watesi wake wajue atatoka nje saa saba usiku huo na wakajiandaa kumshughulikia na kwanini hawakumpora chochote maana yake hawakuwa majambawazi?

nne DJ kama ni mwanaume kweli na kama hakuwa amelewa kwanini hakupanga nao mkono akakubali kiboya tu kuchakazwa?

My take: wengine tuna akili jamani DJ kweli kaonewa ila pia ni mzinzi na mlevi wa kutupwa na ni dhulumati anaiba pesa za ruzuku na zile wanazochanga wabunge! karma at work!!
Kweli kabisa
 
Hakuna asiyejitambua kuwa Mbowe ni mlevi wa kutupwa
Hasafishiki huyo
kijana inaonekana unamjua sana mbowe ulisha lala nae nn
Hiyo video wanaipika hadi itumie mwezi mzima ndio waitoe? Au hii ni ahadi sawa na ile ya video ya mabomu ya Arusha? Mnyika usikubali kufanya kazi chafu za kusafisha ujinga na ulevi wa Mbowe.
Asante sana CDM. Acheni ukweli ujulikane waziwazi na ule mpango mkakati wa vijana wa chattle waliosambazwa nchi nzima kuua watu unajulikana vizuri. Tutawahukumu muda si muda kwa ujinga wao wanafikiri miaka 5 ni mingi.
 
hivi Chadema si waweke tu hiyo video clip tuache kuzungumza wanasubiri nini, DJ ni mwizi wa ruzuku na pesa za michango, ni mlevi na mzinzi mpenda rushwa za ngono za viti maalum na tayari kafundisha wenzake kusema uongo na unafki na uzandiki!! Mnyaka yule aliegombea ubunge wa ubungo na kushindwa tukiwa tunasoma nae pale mlimani wakati ule hakuwa mnyaka huyu amekuwa Makapi tu sasa!
 
Lile sakata la bomu la Arusha si walisemaga walikuwa clip! Waliwahi kuziweka wazi?
Nilielekea huko huko! Mauaji ya Olasite walisema hivyo hivyo! Hadi leo hakuna video yoyote.
Ukiwa na kipaji, ukimuangalia Mnyika usoni utagundua ni mtu mweney arrogance ya ufahamu wakati uwezo wake ni mdogo. Hana points zaidi ya kukazia maneno kwa kelele tu! Ndo matokea ya kukatisha shule.
 
Nilielekea huko huko! Mauaji ya Olasite walisema hivyo hivyo! Hadi leo hakuna video yoyote.
Ukiwa na kipaji, ukimuangalia Mnyika usoni utagundua ni mtu mweney arrogance ya ufahamu wakati uwezo wake ni mdogo. Hana points zaidi ya kukazia maneno kwa kelele tu! Ndo matokea ya kukatisha shule.
😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom