Kuvamiwa kwa Mbowe: CHADEMA yacharuka, Mnyika amvaa IGP amuonya kuhusu uongo unaotengenezwa na Jeshi la Polisi

Kuvamiwa kwa Mbowe: CHADEMA yacharuka, Mnyika amvaa IGP amuonya kuhusu uongo unaotengenezwa na Jeshi la Polisi

hivi Chadema si waweke tu hiyo video clip tuache kuzungumza wanasubiri nini, DJ ni mwizi wa ruzuku na pesa za michango, ni mlevi na mzinzi mpenda rushwa za ngono za viti maalum na tayari kafundisha wenzake kusema uongo na unafki na uzandiki!! Mnyaka yule aliegombea ubunge wa ubungo na kushindwa tukiwa tunasoma nae pale mlimani wakati ule hakuwa mnyaka huyu amekuwa Makapi tu sasa!
Mbona una mzinga wa nzi huko au ulikurupuka from long call office widhauti tawazesheni.
 
Nilielekea huko huko! Mauaji ya Olasite walisema hivyo hivyo! Hadi leo hakuna video yoyote.
Ukiwa na kipaji, ukimuangalia Mnyika usoni utagundua ni mtu mweney arrogance ya ufahamu wakati uwezo wake ni mdogo. Hana points zaidi ya kukazia maneno kwa kelele tu! Ndo matokea ya kukatisha shule.
We mwanamke nenda lebar mda wako umefika
 
Hiyo video wanaipika hadi itumie mwezi mzima ndio waitoe? Au hii ni ahadi sawa na ile ya video ya mabomu ya Arusha? Mnyika usikubali kufanya kazi chafu za kusafisha ujinga na ulevi wa Mbowe.
Tuliza kidonda wewe chief wa wasukuma afanye yake.
Screenshot_20191229-151647.jpeg
 
hivi Chadema si waweke tu hiyo video clip tuache kuzungumza wanasubiri nini, DJ ni mwizi wa ruzuku na pesa za michango, ni mlevi na mzinzi mpenda rushwa za ngono za viti maalum na tayari kafundisha wenzake kusema uongo na unafki na uzandiki!! Mnyaka yule aliegombea ubunge wa ubungo na kushindwa tukiwa tunasoma nae pale mlimani wakati ule hakuwa mnyaka huyu amekuwa Makapi tu sasa!
Kudadadeeeki hata kuandika jina tu la chief wa wasukuma unashindwa
Screenshot_20191229-151647.jpeg
 
Rudi kwenu Ngara wewe unazeekea hapo lumumba
Tunaomba muweke hadharani na ile video ya mabomu ya Arusha!

Yani chadema walivyo wakuda wawe na video wakae kimya tuuu hiyo haiwezi tokea kamwe!
 
Nilielekea huko huko! Mauaji ya Olasite walisema hivyo hivyo! Hadi leo hakuna video yoyote.
Ukiwa na kipaji, ukimuangalia Mnyika usoni utagundua ni mtu mweney arrogance ya ufahamu wakati uwezo wake ni mdogo. Hana points zaidi ya kukazia maneno kwa kelele tu! Ndo matokea ya kukatisha shule.
Matokeo ya kufukuzwa shule kwa mama Patriot ili alishe familia na mtoto Patriot ndio haya kweli!??
 
hivi Chadema si waweke tu hiyo video clip tuache kuzungumza wanasubiri nini, DJ ni mwizi wa ruzuku na pesa za michango, ni mlevi na mzinzi mpenda rushwa za ngono za viti maalum na tayari kafundisha wenzake kusema uongo na unafki na uzandiki!! Mnyaka yule aliegombea ubunge wa ubungo na kushindwa tukiwa tunasoma nae pale mlimani wakati ule hakuwa mnyaka huyu amekuwa Makapi tu sasa!
Unajua nini boss? Naelewa unapomsifu Mnyika wa miaka ile. Kumbuka ulikuwa chuo umemaliza form 6, naye akiwa amemaliza form 6 hivyo, mawazo yenu yalikuwa pamoja. Sasa hivi una digrii, yeye bado hana anatumia elimu ya form 6. Lazima umuone ni hovyo tu! Ameongezeka umri uwezo wa kufikiri ukiwa pale pale!
 
Back
Top Bottom